msinidanganye
Member
- Nov 17, 2012
- 15
- 1
Jamni mm mwenzenu nina ngozi kavu sana yani unakuta na pauka san sehemu za mapajni ndo usiseme na kuwa na michubuko katikati ya mapaja ambayo hainifurahishi hata mm nikikutan na boyfrend wangu ananiambia eti ninafangasi ndomana nakuwa nimepauka ivyo naombeni ushauri je ni fangasi au nn na nitumie mafuta gani ya takayo ifanya ngozi yangu ipendeze isiwe ya kupauka ivyo , au kupauka ivyo ni fangasi kweli kam ninafangasi mbona siwashwi?