Mtapenda
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 1,115
- 2,055
Habari za majukumu ndugu zangu
Naamini jamii forums ni mtandao wa kijamii ambao umejaza watu wenye uelewa mpana na wenye shughuli mbali mbali...
Binafsi sipendi kuajiriwa Bali napenda sanaa kua na shughuli zangu binafsi.. na ndoto kubwa ni kua na kampuni yangu na sasahivi nipo kwenye hatua za mwisho kampuni isajiriwe... Kama tunavyojua kwenye kampuni unaweza fanya shughuli yoyote.. (kilimo, biashara, kutoa services)
Najua wapo watu humu wana kampuni zao na zinachapa kazi kweli kweli.. hivyo basi naomba nijifunze kitu kupitia kwenu pamoja na kupata ushauri wenu... Pamoja na kupewa fursa zilizopo
Naomba sanaa wajuzi na wabobezi mnipe ushauri ni biashara gani ambayo naweza anza nayo japo kwa mtaji mdogo kupitia hii kampuni yangu....
Ama nawezaji kupata tenders kwa hapa nchini ama nchi za nje ambapo naweza kuzifanya mfano wanao uza mazao ya chakula ama mazao ya biashara (korosho, kahawa, kokoa n.k) nje za nchi ni njia gani mtamumia japo nami nianze japo kwa kidogo ili nipate ujuzi...
TUPEANE FURSA WA NDUGU PAMOJA NA USHAURI.. NATARAJIA COMMENTS ZA KUNITIA MOYO NA SI ZA KEJELI AMBAZO HAZINA FAIDA YOYOTE..
NAKARIBISHA USHAURI WENU WAJUZI MIMI NI KIJANA WENU NAPENDA KUA KAMA NINYI...
AHSANTENI
Naamini jamii forums ni mtandao wa kijamii ambao umejaza watu wenye uelewa mpana na wenye shughuli mbali mbali...
Binafsi sipendi kuajiriwa Bali napenda sanaa kua na shughuli zangu binafsi.. na ndoto kubwa ni kua na kampuni yangu na sasahivi nipo kwenye hatua za mwisho kampuni isajiriwe... Kama tunavyojua kwenye kampuni unaweza fanya shughuli yoyote.. (kilimo, biashara, kutoa services)
Najua wapo watu humu wana kampuni zao na zinachapa kazi kweli kweli.. hivyo basi naomba nijifunze kitu kupitia kwenu pamoja na kupata ushauri wenu... Pamoja na kupewa fursa zilizopo
Naomba sanaa wajuzi na wabobezi mnipe ushauri ni biashara gani ambayo naweza anza nayo japo kwa mtaji mdogo kupitia hii kampuni yangu....
Ama nawezaji kupata tenders kwa hapa nchini ama nchi za nje ambapo naweza kuzifanya mfano wanao uza mazao ya chakula ama mazao ya biashara (korosho, kahawa, kokoa n.k) nje za nchi ni njia gani mtamumia japo nami nianze japo kwa kidogo ili nipate ujuzi...
TUPEANE FURSA WA NDUGU PAMOJA NA USHAURI.. NATARAJIA COMMENTS ZA KUNITIA MOYO NA SI ZA KEJELI AMBAZO HAZINA FAIDA YOYOTE..
NAKARIBISHA USHAURI WENU WAJUZI MIMI NI KIJANA WENU NAPENDA KUA KAMA NINYI...
AHSANTENI