Naomba ushauri wenu, napitia mtihani mkubwa nahisi mbele utakuwa mkubwa zaidi

Baada ya kufunga ndoa na mke wangu mwenye umri miaka 18. mwezi mmoja baada alianza kuumwa ugonjwa wa kuishiwa dam ambapo kabla niliambiwa ni tatzo alilokuwa nalo toka utoton sasa lilikwisha pona haya maneneo niliambiwa kabla sijamuoa lakini baada ya ndoa tatzo likarudi akawa ni wa kuishowa damu nyingi kwa njia ya kublead yaan akiwa period.Ikatokea migongano ya wazazi wetu pande zote baada ya wazazi wangu kumpeleka kwa mganga wa kienyeji na mganga kuwaambia huyu mtoto alilogwa toka utotoni na hawezi kupona maana hata madaktari walifanya vipimo na kukutwa hana tatzo lolote katika mfumo wa uzazi bas hapo nikawa nimemrudisha kwao kwa shinikizo la wazaz wang ili akapatiwe dawa za kienyeji mpaka apone.

Amekaa kwao kwa miezi minne huku wazazi wetu wakiwa katika mvutano. Wazazi wangu wakitaka niachane nae na nisimrudishe maana wazazi wake wanakatakataa kuwa mtoto wao hakulogwa wala nini.

Mama alijaribu kunisihi sana kuwa nimuache huyu mtoto kwao na kama kuoa bas ntaoa mwingine.

Sikuweza kumuelewa mama maana binti nlikuwa nampenda maana alikuwa na tabia nzuri na dini pia.

Baada ya kuwa nawasiliana na mke wangu mara kwa mara na kumuuliza hali yake akawa ananiambia kwa sasa yupo sawa na hana tatzo la damu wala tumbo tena.

Basi mapenz yalinijawa ghafla mwezi ulopita nkaamua kwenda kijijini kuwaomba wazazi ridhaa nimfuate mke wangu maana bado nampenda na mm na yeye hatukugombana.
Baba zangu wadogo na babu walikubali ila mama akakubali shingiupande kwa kusema hapana huyo hajapona watakuwa wanakudanganya.

Wazee wakajaribu kumshawishi mwsho wa ck akukubali shingo upande na mm nkaondoka na kumfuata mke wangu kwao bila kipingamizi chichote wazaz wake wakanipa mke wangu nkarudi nae.

Kinachonstua tushaenda hospitalini zaidi ya mara tatu na anapigwa utrasound ya kizaz madactar wanasema hakuna tatzo lkn mpaka sasa hv mke wangu kapungukiwa 60% ya damu na bado tumbo linamuuma kuliko hata mwanzo lkn tatzo halionekani.

nimewaza sana mpaka sasa nimeshaingia gharama kubwa natibisha ugonjwa nsio ufahamu na kumbuka kwa tatzo lake hili wataalam walisema hawezi kushika mimba.

Naaza kuyaona maneno ya mama usoni kwangu na kuwaza namna ntakavyo mrudisha huyu mtoto kwao akatibiwe na dawa za kienyeji mpaka apone maana naona mzigo unaenda kuwa mkubwa na mm sio mzoefu katika ndoa.

naombeni ushauri wenu sitaki matusi wala kejeli ntasikiliza ushauri wenu wadau n
DOCTOR BINGWA BINGWA WA HAYO NI YESU UTARATIBU WAKE NI KUMWAMINI NA KUMKIRI KWA KINYWA CHAKO KISHA UTAMWAMBIA TATIZO ATAPONA BILA WEWE KUTOA HELA.HUDUMA YAKE NI BURE ILA UMWAMINI NA KUACHA DHAMBI
 
YESU NDIO JIBU LA SHIDA NA CHANGAMOTO ZAKO ZOTE
NYINGINE ZOTE NI MBWEMBWE TU

binafsi nimeona YESU akifanya sio kwenye maisha yangu tu hata kwa wengine ni kweli na hakika hilo ni jambo dogo sana tena sana kwa Yesu

Yesu na Mungu ni nani wa kumuomba na kumtegemea?
 
DOCTOR BINGWA BINGWA WA HAYO NI YESU UTARATIBU WAKE NI KUMWAMINI NA KUMKIRI KWA KINYWA CHAKO KISHA UTAMWAMBIA TATIZO ATAPONA BILA WEWE KUTOA HELA.HUDUMA YAKE NI BURE ILA UMWAMINI NA KUACHA DHAMBI

Acha kumpotosha bwana. Yesu ambae ni issa bin maryam ni binadamu kama mimi na wewe, sasa inakuaje binadamu anaombwa badala ya Mungu aliyemuumba yeye na Issa bin maryam/yesu!
 
Baada ya kufunga ndoa na mke wangu umri miaka 18, mwezi mmoja baada alianza kuumwa ugonjwa wa kuishiwa damu ambapo kabla niliambiwa ni tatizo alilokuwa nalo toka utotoni sasa lilikwisha pona haya maneneo niliambiwa kabla sijamuoa lakini baada ya ndoa tatzo likarudi akawa ni wa kuishiwa damu nyingi kwa njia ya kublead yaan akiwa period.

Ikatokea migongano ya wazazi wetu pande zote baada ya wazazi wangu kumpeleka kwa mganga wa kienyeji na mganga kuwaambia huyu mtoto alilogwa toka utotoni na hawezi kupona maana hata madaktari walifanya vipimo na kukutwa hana tatzo lolote katika mfumo wa uzazi bas hapo nikawa nimemrudisha kwao kwa shinikizo la wazazi wangu ili akapatiwe dawa za kienyeji mpaka apone.

Amekaa kwao kwa miezi minne huku wazazi wetu wakiwa katika mvutano. Wazazi wangu wakitaka niachane nae na nisimrudishe maana wazazi wake wanakatakataa kuwa mtoto wao hakulogwa wala nini.

Mama alijaribu kunisihi sana kuwa nimuache huyu mtoto kwao na kama kuoa bas ntaoa mwingine.

Sikuweza kumuelewa mama maana binti nlikuwa nampenda maana alikuwa na tabia nzuri na dini pia.

Baada ya kuwa nawasiliana na mke wangu mara kwa mara na kumuuliza hali yake akawa ananiambia kwa sasa yupo sawa na hana tatzo la damu wala tumbo tena.

Basi mapenz yalinijawa ghafla mwezi ulopita nkaamua kwenda kijijini kuwaomba wazazi ridhaa nimfuate mke wangu maana bado nampenda na mm na yeye hatukugombana.
Baba zangu wadogo na babu walikubali ila mama akakubali shingiupande kwa kusema hapana huyo hajapona watakuwa wanakudanganya.

Wazee wakajaribu kumshawishi mwsho wa ck akukubali shingo upande na mm nkaondoka na kumfuata mke wangu kwao bila kipingamizi chichote wazaz wake wakanipa mke wangu nkarudi nae.

Kinachonstua tushaenda hospitalini zaidi ya mara tatu na anapigwa utrasound ya kizaz madactar wanasema hakuna tatzo lkn mpaka sasa hv mke wangu kapungukiwa 60% ya damu na bado tumbo linamuuma kuliko hata mwanzo lkn tatzo halionekani.

Nimewaza sana mpaka sasa nimeshaingia gharama kubwa natibisha ugonjwa nsio ufahamu na kumbuka kwa tatzo lake hili wataalam walisema hawezi kushika mimba.

Naaza kuyaona maneno ya mama usoni kwangu na kuwaza namna ntakavyo mrudisha huyu mtoto kwao akatibiwe na dawa za kienyeji mpaka apone maana naona mzigo unaenda kuwa mkubwa na mm sio mzoefu katika ndoa.

Naombeni ushauri wenu sitaki matusi wala kejeli ntasikiliza ushauri wenu wadau na ntachukua kitakachopaswa kuchukuliwa.

Nawasilisha...
1. Kwa Mwakasege

2. Kwa Mwamposa

Pole sana
 
Baada ya kufunga ndoa na mke wangu umri miaka 18, mwezi mmoja baada alianza kuumwa ugonjwa wa kuishiwa damu ambapo kabla niliambiwa ni tatizo alilokuwa nalo toka utotoni sasa lilikwisha pona haya maneneo niliambiwa kabla sijamuoa lakini baada ya ndoa tatzo likarudi akawa ni wa kuishiwa damu nyingi kwa njia ya kublead yaan akiwa period.

Ikatokea migongano ya wazazi wetu pande zote baada ya wazazi wangu kumpeleka kwa mganga wa kienyeji na mganga kuwaambia huyu mtoto alilogwa toka utotoni na hawezi kupona maana hata madaktari walifanya vipimo na kukutwa hana tatzo lolote katika mfumo wa uzazi bas hapo nikawa nimemrudisha kwao kwa shinikizo la wazazi wangu ili akapatiwe dawa za kienyeji mpaka apone.

Amekaa kwao kwa miezi minne huku wazazi wetu wakiwa katika mvutano. Wazazi wangu wakitaka niachane nae na nisimrudishe maana wazazi wake wanakatakataa kuwa mtoto wao hakulogwa wala nini.

Mama alijaribu kunisihi sana kuwa nimuache huyu mtoto kwao na kama kuoa bas ntaoa mwingine.

Sikuweza kumuelewa mama maana binti nlikuwa nampenda maana alikuwa na tabia nzuri na dini pia.

Baada ya kuwa nawasiliana na mke wangu mara kwa mara na kumuuliza hali yake akawa ananiambia kwa sasa yupo sawa na hana tatzo la damu wala tumbo tena.

Basi mapenz yalinijawa ghafla mwezi ulopita nkaamua kwenda kijijini kuwaomba wazazi ridhaa nimfuate mke wangu maana bado nampenda na mm na yeye hatukugombana.
Baba zangu wadogo na babu walikubali ila mama akakubali shingiupande kwa kusema hapana huyo hajapona watakuwa wanakudanganya.

Wazee wakajaribu kumshawishi mwsho wa ck akukubali shingo upande na mm nkaondoka na kumfuata mke wangu kwao bila kipingamizi chichote wazaz wake wakanipa mke wangu nkarudi nae.

Kinachonstua tushaenda hospitalini zaidi ya mara tatu na anapigwa utrasound ya kizaz madactar wanasema hakuna tatzo lkn mpaka sasa hv mke wangu kapungukiwa 60% ya damu na bado tumbo linamuuma kuliko hata mwanzo lkn tatzo halionekani.

Nimewaza sana mpaka sasa nimeshaingia gharama kubwa natibisha ugonjwa nsio ufahamu na kumbuka kwa tatzo lake hili wataalam walisema hawezi kushika mimba.

Naaza kuyaona maneno ya mama usoni kwangu na kuwaza namna ntakavyo mrudisha huyu mtoto kwao akatibiwe na dawa za kienyeji mpaka apone maana naona mzigo unaenda kuwa mkubwa na mm sio mzoefu katika ndoa.

Naombeni ushauri wenu sitaki matusi wala kejeli ntasikiliza ushauri wenu wadau na ntachukua kitakachopaswa kuchukuliwa.

Nawasilisha...
Nadhani wamcheki vizuri anaweza kuwa na ugonjwa wa seli mundu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kufunga ndoa na mke wangu umri miaka 18, mwezi mmoja baada alianza kuumwa ugonjwa wa kuishiwa damu ambapo kabla niliambiwa ni tatizo alilokuwa nalo toka utotoni sasa lilikwisha pona haya maneneo niliambiwa kabla sijamuoa lakini baada ya ndoa tatzo likarudi akawa ni wa kuishiwa damu nyingi kwa njia ya kublead yaan akiwa period.

Ikatokea migongano ya wazazi wetu pande zote baada ya wazazi wangu kumpeleka kwa mganga wa kienyeji na mganga kuwaambia huyu mtoto alilogwa toka utotoni na hawezi kupona maana hata madaktari walifanya vipimo na kukutwa hana tatzo lolote katika mfumo wa uzazi bas hapo nikawa nimemrudisha kwao kwa shinikizo la wazazi wangu ili akapatiwe dawa za kienyeji mpaka apone.

Amekaa kwao kwa miezi minne huku wazazi wetu wakiwa katika mvutano. Wazazi wangu wakitaka niachane nae na nisimrudishe maana wazazi wake wanakatakataa kuwa mtoto wao hakulogwa wala nini.

Mama alijaribu kunisihi sana kuwa nimuache huyu mtoto kwao na kama kuoa bas ntaoa mwingine.

Sikuweza kumuelewa mama maana binti nlikuwa nampenda maana alikuwa na tabia nzuri na dini pia.

Baada ya kuwa nawasiliana na mke wangu mara kwa mara na kumuuliza hali yake akawa ananiambia kwa sasa yupo sawa na hana tatzo la damu wala tumbo tena.

Basi mapenz yalinijawa ghafla mwezi ulopita nkaamua kwenda kijijini kuwaomba wazazi ridhaa nimfuate mke wangu maana bado nampenda na mm na yeye hatukugombana.
Baba zangu wadogo na babu walikubali ila mama akakubali shingiupande kwa kusema hapana huyo hajapona watakuwa wanakudanganya.

Wazee wakajaribu kumshawishi mwsho wa ck akukubali shingo upande na mm nkaondoka na kumfuata mke wangu kwao bila kipingamizi chichote wazaz wake wakanipa mke wangu nkarudi nae.

Kinachonstua tushaenda hospitalini zaidi ya mara tatu na anapigwa utrasound ya kizaz madactar wanasema hakuna tatzo lkn mpaka sasa hv mke wangu kapungukiwa 60% ya damu na bado tumbo linamuuma kuliko hata mwanzo lkn tatzo halionekani.

Nimewaza sana mpaka sasa nimeshaingia gharama kubwa natibisha ugonjwa nsio ufahamu na kumbuka kwa tatzo lake hili wataalam walisema hawezi kushika mimba.

Naaza kuyaona maneno ya mama usoni kwangu na kuwaza namna ntakavyo mrudisha huyu mtoto kwao akatibiwe na dawa za kienyeji mpaka apone maana naona mzigo unaenda kuwa mkubwa na mm sio mzoefu katika ndoa.

Naombeni ushauri wenu sitaki matusi wala kejeli ntasikiliza ushauri wenu wadau na ntachukua kitakachopaswa kuchukuliwa.

Nawasilisha...
Ushampeleka kwa mashekh asomewe kisomo huyo anaonekana anajini linamsumbua
 
Achanana habari za waganga, mpeleke kwenye maombi atapona huyo, achana na mawazo ya kumuacha utakuja kujuta atakapokaa sawa na amenawili na wewe Bado unampenda
 
Pole sana kwa changamoto, fanyeni maombi kwa Mungu kutokana na imani zenu, Mungu awasaidie.
 
Nakushauri hivi,

Moja, kama mwanaume ukishaoa wewe ndio uamuzi was mwisho was maswala ya ndoa yako na mke wako, mama na ndugu wengine wanakushauri tu lakn wewe ndio muamuzi wa mwisho kwenye ndoa yako na mke wako

La pili, kuhusu ugonjwa wa mke wako kama wazazi wa mwanamke walisema alikua anasumbulia na ugonjwa huo tangu akiwa mtoto basis kuna uwezekano mkubwa mke ana sickle cell anemia (Seli mundu)
Nenda kachek huo ugonjwa

La mwisho, achana mambo ya kwa waganga, Mara kumrudisha mke kwao hizo ishu achana nazo mpende mke wako mpambanie mke wako wewe ndo kichwa na wewe ndiye uliyeoa
 
Baada ya kufunga ndoa na mke wangu umri miaka 18, mwezi mmoja baada alianza kuumwa ugonjwa wa kuishiwa damu ambapo kabla niliambiwa ni tatizo alilokuwa nalo toka utotoni sasa lilikwisha pona haya maneneo niliambiwa kabla sijamuoa lakini baada ya ndoa tatzo likarudi akawa ni wa kuishiwa damu nyingi kwa njia ya kublead yaan akiwa period.

Ikatokea migongano ya wazazi wetu pande zote baada ya wazazi wangu kumpeleka kwa mganga wa kienyeji na mganga kuwaambia huyu mtoto alilogwa toka utotoni na hawezi kupona maana hata madaktari walifanya vipimo na kukutwa hana tatzo lolote katika mfumo wa uzazi bas hapo nikawa nimemrudisha kwao kwa shinikizo la wazazi wangu ili akapatiwe dawa za kienyeji mpaka apone.

Amekaa kwao kwa miezi minne huku wazazi wetu wakiwa katika mvutano. Wazazi wangu wakitaka niachane nae na nisimrudishe maana wazazi wake wanakatakataa kuwa mtoto wao hakulogwa wala nini.

Mama alijaribu kunisihi sana kuwa nimuache huyu mtoto kwao na kama kuoa bas ntaoa mwingine.

Sikuweza kumuelewa mama maana binti nlikuwa nampenda maana alikuwa na tabia nzuri na dini pia.

Baada ya kuwa nawasiliana na mke wangu mara kwa mara na kumuuliza hali yake akawa ananiambia kwa sasa yupo sawa na hana tatzo la damu wala tumbo tena.

Basi mapenz yalinijawa ghafla mwezi ulopita nkaamua kwenda kijijini kuwaomba wazazi ridhaa nimfuate mke wangu maana bado nampenda na mm na yeye hatukugombana.
Baba zangu wadogo na babu walikubali ila mama akakubali shingiupande kwa kusema hapana huyo hajapona watakuwa wanakudanganya.

Wazee wakajaribu kumshawishi mwsho wa ck akukubali shingo upande na mm nkaondoka na kumfuata mke wangu kwao bila kipingamizi chichote wazaz wake wakanipa mke wangu nkarudi nae.

Kinachonstua tushaenda hospitalini zaidi ya mara tatu na anapigwa utrasound ya kizaz madactar wanasema hakuna tatzo lkn mpaka sasa hv mke wangu kapungukiwa 60% ya damu na bado tumbo linamuuma kuliko hata mwanzo lkn tatzo halionekani.

Nimewaza sana mpaka sasa nimeshaingia gharama kubwa natibisha ugonjwa nsio ufahamu na kumbuka kwa tatzo lake hili wataalam walisema hawezi kushika mimba.

Naaza kuyaona maneno ya mama usoni kwangu na kuwaza namna ntakavyo mrudisha huyu mtoto kwao akatibiwe na dawa za kienyeji mpaka apone maana naona mzigo unaenda kuwa mkubwa na mm sio mzoefu katika ndoa.

Naombeni ushauri wenu sitaki matusi wala kejeli ntasikiliza ushauri wenu wadau na ntachukua kitakachopaswa kuchukuliwa.

Nawasilisha...
Mkuu pole sana! Ebu karibuni kwenda kwenye maombi inaonekana ni nguvu za giza hizo! Nakuomba mkajaribu maombi mtasaidika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom