Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,129
- 7,446
✊
now 19 years mkuuUna umri gan??..nenda form two kama kichwa bado hakilewi sifaa...hutojutia mkuu...elimu haina mwisho
okInategemea uwezo wa pesa pia.
kitu cha muhimu tafuta course nzuri ya certificate usome halafu kutoka hapo utaangalia wapi uende... kama umesema sayansi chagua course yoyote ya afya au mineral related courses hapo hutokuja kujuta na siku moja utanitafuta hata kwa soda tuuNina umri wa miaka kumi na tisa sasa, maisha yangu kielimu yalikuwa mazuri sana, namaanisha nilikuwa/nina uwezo mkubwa sana kiakili, mtaani walikuwa wakinisifia sana hadi mda mwingine ilifikia kuchukiwa na baadhi wanafunzi wenzangu kwani kila mtihani nilikuwa nikiongoza (nashika number 1) muda ulienda nikaingia sekondari nilikuwa maarufu kwa sababu nilikuwa mkorofi na nilikuwa very bright , nilikuwa naongea kiingereza bila kubabaika, nlikuwa jasiri siogopi kusimama mbele ya 600 students na kutoa speech , nikajikuta nalewa sifa baada ya kuingia kidato cha tatu .
Sikutaka kusoma kwa kuwa rafiki zangu walinisifia kuwa nina akili sana ,hivyo nikae tuu na wao geto form four lazima nifaulu kweli sikuwaza kuwa kuna kuanguka .
Miezi sita sikuwa naenda shule ipasavyo nilikuwa nikijisikia ndo naenda ,.Mara paap form four hii hapa mtihani wa utaamirifu nkapata dv 3 kichwa kikajaa zaidi sababu marafiki walikuwa wakinijaza misifa.
Mtihani wa taifa nkafanya huku wakinisifia lazima upate division 1 mkuu , hamna haja ya maandalizi wewe ni msomi una akili za kuzaliwa.
Matokeo yakatoka nina div 4.26 machozi yalinitoka ,hadi leo mda huu hata kesho yatakuwa yananitoka tuu maana nia/ndoto zilikuwa kusoma sana na kwenda nje ya nchi ili nije kusaidia jamii inayonizunguka , naumi natamani nirudie tena kusoma maana naona Division 4.26 hainitoshi.
Nimechagua humu kwa sababu nahisi kuna wasomi na nitapata ushauri mzuri
NATANGULIZA SHUKURANI
Njoo pmje ninaweza kurudi hata kidato cha pili wakui??? au nitafute college nianze na certificate???
Kufeli ni Moja ya sehemu ya maisha cha muhimu inuka na uangalie ulikosea wapi kisha songa mbele....Nina umri wa miaka kumi na tisa sasa, maisha yangu kielimu yalikuwa mazuri sana, namaanisha nilikuwa/nina uwezo mkubwa sana kiakili, mtaani walikuwa wakinisifia sana hadi mda mwingine ilifikia kuchukiwa na baadhi wanafunzi wenzangu kwani kila mtihani nilikuwa nikiongoza (nashika number 1) muda ulienda nikaingia sekondari nilikuwa maarufu kwa sababu nilikuwa mkorofi na nilikuwa very bright , nilikuwa naongea kiingereza bila kubabaika, nlikuwa jasiri siogopi kusimama mbele ya 600 students na kutoa speech , nikajikuta nalewa sifa baada ya kuingia kidato cha tatu .
Sikutaka kusoma kwa kuwa rafiki zangu walinisifia kuwa nina akili sana ,hivyo nikae tuu na wao geto form four lazima nifaulu kweli sikuwaza kuwa kuna kuanguka .
Miezi sita sikuwa naenda shule ipasavyo nilikuwa nikijisikia ndo naenda ,.Mara paap form four hii hapa mtihani wa utaamirifu nkapata dv 3 kichwa kikajaa zaidi sababu marafiki walikuwa wakinijaza misifa.
Mtihani wa taifa nkafanya huku wakinisifia lazima upate division 1 mkuu , hamna haja ya maandalizi wewe ni msomi una akili za kuzaliwa.
Matokeo yakatoka nina div 4.26 machozi yalinitoka ,hadi leo mda huu hata kesho yatakuwa yananitoka tuu maana nia/ndoto zilikuwa kusoma sana na kwenda nje ya nchi ili nije kusaidia jamii inayonizunguka , naumi natamani nirudie tena kusoma maana naona Division 4.26 hainitoshi.
Nimechagua humu kwa sababu nahisi kuna wasomi na nitapata ushauri mzuri
NATANGULIZA SHUKURANI
Pole Sana'a kijana mwenzanguNina umri wa miaka kumi na tisa sasa, maisha yangu kielimu yalikuwa mazuri sana, namaanisha nilikuwa/nina uwezo mkubwa sana kiakili, mtaani walikuwa wakinisifia sana hadi mda mwingine ilifikia kuchukiwa na baadhi wanafunzi wenzangu kwani kila mtihani nilikuwa nikiongoza (nashika number 1) muda ulienda nikaingia sekondari nilikuwa maarufu kwa sababu nilikuwa mkorofi na nilikuwa very bright , nilikuwa naongea kiingereza bila kubabaika, nlikuwa jasiri siogopi kusimama mbele ya 600 students na kutoa speech , nikajikuta nalewa sifa baada ya kuingia kidato cha tatu .
Sikutaka kusoma kwa kuwa rafiki zangu walinisifia kuwa nina akili sana ,hivyo nikae tuu na wao geto form four lazima nifaulu kweli sikuwaza kuwa kuna kuanguka .
Miezi sita sikuwa naenda shule ipasavyo nilikuwa nikijisikia ndo naenda ,.Mara paap form four hii hapa mtihani wa utaamirifu nkapata dv 3 kichwa kikajaa zaidi sababu marafiki walikuwa wakinijaza misifa.
Mtihani wa taifa nkafanya huku wakinisifia lazima upate division 1 mkuu , hamna haja ya maandalizi wewe ni msomi una akili za kuzaliwa.
Matokeo yakatoka nina div 4.26 machozi yalinitoka ,hadi leo mda huu hata kesho yatakuwa yananitoka tuu maana nia/ndoto zilikuwa kusoma sana na kwenda nje ya nchi ili nije kusaidia jamii inayonizunguka , naumi natamani nirudie tena kusoma maana naona Division 4.26 hainitoshi.
Nimechagua humu kwa sababu nahisi kuna wasomi na nitapata ushauri mzuri
NATANGULIZA SHUKURANI
Na mimi hapo vipi kakaNjoo pm
Njoo pm mkuuNa mimi hapo vipi kaka
Civics-D
Biology-D
Math-F
Kiswahili-D
Geography-F
History-D
English-C
Ni IV ya 29
UNANISHAURI NIKASOMEE NINI boss...?