Machmadem
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 758
- 933
Habali zenu
Naomben ushauri jamani niko njia panda. Nifanye nini katika hili. Nipo katika mahusiano ni Taktiban miez 2 ila shida iko sehemu moja huyu bidada nilienaye ana wivu yes wivu haswaa uliopitiliza asione sim imepigwa atataka ajue, asione naongea na jinsia tofauti ndo kabisa ni mwendo wa kununa ka paka aliyekosa maziwa kwakwel hii kitu mimi siwezi vumilia napenda uhuru katka ishu nzima ya mahusiano sasa nawaza nifanye kipi kutatua hii disaster.
Nimejaribu kuandika kwa ufupi ila yapo mengi tu. Naombeni ushauri wenu jamani ni nifanye nini
Naomben ushauri jamani niko njia panda. Nifanye nini katika hili. Nipo katika mahusiano ni Taktiban miez 2 ila shida iko sehemu moja huyu bidada nilienaye ana wivu yes wivu haswaa uliopitiliza asione sim imepigwa atataka ajue, asione naongea na jinsia tofauti ndo kabisa ni mwendo wa kununa ka paka aliyekosa maziwa kwakwel hii kitu mimi siwezi vumilia napenda uhuru katka ishu nzima ya mahusiano sasa nawaza nifanye kipi kutatua hii disaster.
Nimejaribu kuandika kwa ufupi ila yapo mengi tu. Naombeni ushauri wenu jamani ni nifanye nini