Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,894
- 33,450
Mkuu matajiri wa forex wataanza kuinekana baada ya miaka 5. Achana na huyo mbishi, watu wanafikiri forex ni sawa na kulima tembele, kwamba leo unapanda baada ya wiki 2 unaanza kuchuma.Hakuna mtoto wa tajiri anacheza Forex, FX sio ishu yakitoto inaumiza akiri na kuitesa naona umeandika uvivu mtu aliyefanikiwa kwenye Forex ni mtu alikita akiri kisawasawa kichwa kilichoelewa FX sikichwa cha kawaida cha kivivu ndio maana nikakwambia usitegemee kumuona mtoto wa MO anakaza medulla yake kuisoma FX yanini nawakati Mtaji tiari anao.
Elewa hiki Forex ni Hustle ya kuRise Fund sasa mtoto wa tajiri tiali iyo Funding power teyari ipo anachohitaji yeye ni ku-start Business tu ila wewe mtoto wa Mzee Dulla lazima uminye mishipa kuRise Fund.
Sent using Jamii Forums mobile app