Naomba ushauri wenu juu ya mambo haya, maana mwenyewe imefika mahali nimeanza kukata tamaa

matajiri ni wachache duniani, coz wanafanya kitu ambacho wengne wameshindwa kukifanyaa, forex ni ngumu, ila ugumu ukiishaa ni raha ya milele, watoto wa matajiri hawawezi kufanyaa forex coz wanajua ni ngumu sana hesabu kama zote, halafu ni mental game yaani unaweza kula msosi ukashibaa, ukianza kusoma hii kitu kwa masaa 2 unapata njaa ya hatari na mchoko wa hatari coz akiri inatumika sanaa than normal
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom