matajiri ni wachache duniani, coz wanafanya kitu ambacho wengne wameshindwa kukifanyaa, forex ni ngumu, ila ugumu ukiishaa ni raha ya milele, watoto wa matajiri hawawezi kufanyaa forex coz wanajua ni ngumu sana hesabu kama zote, halafu ni mental game yaani unaweza kula msosi ukashibaa, ukianza kusoma hii kitu kwa masaa 2 unapata njaa ya hatari na mchoko wa hatari coz akiri inatumika sanaa than normal
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.