Faru12
JF-Expert Member
- Jun 24, 2014
- 391
- 235
Habari zenu.
Kama kichwa cha habari kisemavyo, wale wajuzi wa magari pia wale wenye uzoefu na hizi gari DAEWOO NUBIRIA naombeni ushauri wenu wa jinsi hii gari ilivyo.
- Ubora
- Upatikanaji wa spare
- Na changamoto za hii gari zikoje?
Ni gari nataka kuichukuwa kwaajili ya kufanyia biashara.
Kama kichwa cha habari kisemavyo, wale wajuzi wa magari pia wale wenye uzoefu na hizi gari DAEWOO NUBIRIA naombeni ushauri wenu wa jinsi hii gari ilivyo.
- Ubora
- Upatikanaji wa spare
- Na changamoto za hii gari zikoje?
Ni gari nataka kuichukuwa kwaajili ya kufanyia biashara.