Naomba ushauri, wazazi wangu hawataki nisome ujuzi mwingine zaidi ya taaluma niliyosoma

I'd suggest usisomee kwanza driving, au kama huna shida ya cheti nicheki nitakufundisha...sema utaweka mafuta tu.
Na kuhusu leseni utapata kwa 95k

Mawazo yangu ilikua hio hela ambayo ungeitumia kwa driving ndo ungeenda kujifunza mambo ya upishi ili uweze kua well na skills nyingi za upishi.

Maana umesema kuna shughuli utakuja kuzifanya za kutumia gari, its well known kwa sasa huwezi kununua gari, ko labda utaishia tu kukodisha ambayo inakua cost nyingine zaidi plus ile hela ambayo uliendea driving inakua imeenda bure maana gari umekodisha.

Maybe kama una uwezo wa kupata gari baada ya kua umejifunza then you can go for driving.
The best solution kwake ni either akomae na upishi au arudi Law school IMO
 
Natafuta sehemu uliyoongelea mahusiano sioni, huo umri wa kufait njoo tulianzishe pamoja ili usine tena fika muda ukaanza harakat za kusaka mwenza!
Njoo tuhusiane kiuchumi, kiroho, kifuture, kimalengo na kimikakati
 
Natafuta sehemu uliyoongelea mahusiano sioni, huo umri wa kufait njoo tulianzishe pamoja ili usine tena fika muda ukaanza harakat za kusaka mwenza!
Njoo tuhusiane kiuchumi, kiroho, kifuture, kimalengo na kimikakati
Asante, unaweza kutafuta kwingine
 
Mkuu do what your heart tells you. Lakini make sure hata kama wazazi hawatakubaliana na maamuzi yako, utakuwa na amani na kile unachoenda kufanya. Ni vizuri kuwa na taaluma zaidi ya moja, hasa kwa maisha ya sasa. Vilevile hakikisha unachoenda kukifanya basi kitakusaidia kupata kipato kitakachoweza kuendesha maisha yako. All the best.

Mama pretty
 
Hivi jamani hata kwenda driving school napo inabidi wazazi wako ndio wakupe ruhusa??

We labda unategemea ada kutoka kwao ila kama unajilipia unatakiwa kuwapa taarifa tu kuwa unasomea driving, na ratiba yako itakuaje umemaliza.
 
Wakuu habari,

Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo. Mtanisamehe mimi sio mwandishi mzuri ila nitajitahidi nieleweke.

Mimi nimebahatika kusoma systematically kama ilivyo mfumo wa elimu wa Tanzania, yani kuanzia std7, f4, f6 mwisho chuo kikuu.

Sasa kipindi nimemaliza f4 wakati nasubiri matokeo niliwaomba kuwa nikasome hotel management kwa sababu shule niliosoma tulikuwa tukisoma cookery ambayo naipenda na kwenye kupika mash'Allah si haba, nikaona vyema niende kupata ujuzi zaidi lakini nilipopeleka hili wazo nyumbani walinikatalia kwa kunipiga chenga mpaka muda ukaisha and mind you, kipindi hicho nipo tu nyumbani sina issue na ukiomba pesa hupewi.

Japokuwa nilikua najiwekea akiba zangu yani mfano nikipewa elfu 3 ya shule nlikua natoa buku yani hiyo buku ni nauli pamoja na kula shule then elf 2 ndo akiba yangu kwa hiyo kwa wiki nlikua natunza sh. elf 10 ambayo ilikua inanisaidia matumizi yangu. Nikiri kusema kuwa material things mbalimbali nilikua najinunulia mwenyewe .. sijawahi kuomba nyumbani pesa yoyote ya matumizi yangu ya kike zaidi wazazi wangu walikua wanajua kulipa tu ada pamoja matumizi ya shule!

Najaribu tu kufupisha, baadae nikawaomba niende nkasome certificate& diploma ndipo niende chuo kikuu walinikatalia tena wazi sio kwamba nilikua sijitambui lakini nature ya familia yangu ina tabia ya kudharau mawazo ya mtu bila kuyapima ..nkasema anyway kwa kuwa bado nipo chini yao na ninawategemea wacha tu niwaskilize, kwa hiyo nikaenda boarding school!

Nikafaulu tena kujiunga na chuo kimoja hapa Tanzania, niliomba mkopo ila sikupata kwa hiyo ada nikawa nategemea wazazi wangu pamoja na matumizi, wakati wote huo hakuna anaejali kuwa mimi ni mtotonwa kike nina mahitaji mengi.. nkasema fresh...

Nikaanza semester ya kwanza maisha magum, nikachekecha akili nilikua nna dada ambae tumesoma wote A level alikua anakaa nje ya hostel za chuo..
Nikamuomba niwe napikia jiko lake na gesi ikiisha mimi nitagharamia kuijaza akakubali..
Kwa hiyo nikawa natangaza menu ya chakula watu wanaweka oda mida ya kuanzia saa 9 mchana napika kwa ajili ya hizo oda maana nilifanya kwa jioni tu ili ratiba yangu ya darasani isiharibike kwa hiyo nikaanza taratibu kujitegemea completely..

Baada ya muda fulani nkatafuta chimbo la viatu nkapata nikawa nachukua viatu nazungusha hostel za chuo na nje ya chuo nikiwa na rafiki yangu wakati mwingine tunafanya biashara mseto yani hatujastick kwenye biashara moja.

At least maisha yakawa yanaenda, baadae tulitakiwa kuishi nje ya hostel za chuo, nikafanikiwa kununua godoro pamoja na kitanda, nikapata na chumba ambacho kipo affordable nkapanga.

Tukaanza semester nyingine, baba alikua akinipa ada nusu semester na kama kuna michango mingine atatoa yote. Basi hiyo semester nikatoa kiasi kidogo cha ada nikannua vitu muhim vya ndani nkawa napambana kuirudisha hivyo hivyo as usual mpaka nkamaliza chuo ndo yakiwa maisha yangu ya kujitafutia.

Sasa mwishoni nakaribia kumaliza, nilikua nmepanga kuwa nitimize baadhi ya malengo yangu ya kusoma ujuzi tofauti kidogo.
Kuna ndugu yetu yupo mkoa jirani na nilipokua tulikua tukiwasiliana aliposikia npo hapo jirani, kuna kipindi alinisaidia PC yake ya kazini baada ya kuibiwa ya kwangu ambapo pia sasa nimemaliza matumizi yake inabidi niirudishe. Kwa hiyo nilimuomba anisaidie nikienda nipate mafunzo ya udereva akakubali, nikawataarifu nyumbani kuhusu hilo jambo wakakubali pia.. lakini ajabu ilipokaribia kuondoka wakanizuia kuwa hakuna kwenda huko tena! Nikiwauliza sababu wanajiumauma! Nawajua vizuri! Niliumia ila sikua na jinsi zaidi ya kuwasikiliza.

Huyo ndugu yetu yupo kwenye system ambapo niliongea nae pia akaniahidi kuweza kupata sehem ya kujishikiza kulingana na taaluma yangu ya chuo, kwa hiyo hilo pia likayeyuka!

Yote kwa yote wazazi wangu hawafaham changamoto ninayopitia kwan nimekua mtu mkimya nisieongea nayopitia kutokana na kunionesha kutoguswa/kujali hivyo ni tabia yangu kunyamaza tangu nikiwa mdogo. Na nina siri nyingi sana sina mtu wa kumueleza.

Wakati mwingine nawashangaa watu wanasema wanapenda wazazi/mama zao au wapo nao karibu kiasi wanaweza kuwaambia kila kitu ila kwangu ni tofauti😥 sijui kama kuna upendo wa namna hiyo kwangu😫 kwa hiyo vutu vingi napitia kimya kimya mpaka natatua changamoto zangu peke yangu.

Anyway nisiwachoshe , ushauri naoomba ni huu.

Kwa sasa nina akiba kiasi ninayoweza kujisomesha udereva je niende? Maana nimerudi nyumbani sina nachofanya zaidi ya kusengenywa na wazazi wangu😪

Kingine kwa sababu ninavyo vitu vya kuanzia maisha na ramabi at least ninayo, je niondoke nyumbani nikapange niendelee kujitafutia? Maana nipo in the middle of 20's.. naona nyumbani pameanza kunilemaza kiaina.

Nawaheshimu wazazi wangu ila kwa baadhi ya maamuzi yangu watanisamehe. Nishaurini hapo. Nina mengi sana labda nitapata kuyasema wakati mwingine nipunguze uchungu wangu.
Sikia dogo wkt mwingine wazazi wanarogwa. mie kwa mfano nilisepa kivyangu kwa kozi nayoitaka kufika kulechuo bana nikawa mpiga picha mzuri tu!....rovin' photographer! basi nikasoma weeeeee!! bila salamu kuwapa!!

nKamaliza nkafanya kazi nkamaliza nikaenda tena chuo kikuuu!! ndo wakajua kwa mbaaali hilo toto liko UDSM, wakalewa mpaka leo!
 
wangekua wananipatia majitaji yangu muhim and mind you miaka takribani 6 sipo nao mkoa mmoja, kwa hiyo ningeamua kufanya ushenzi ningefanya tu ila najiheshimu.
Hapo ndo huwaga nachokaga kabisaaa!!........wao km wao! wakikupa karo ya shule ni kitu kikubwa saaaana!! mengineyo ni wewe mwenyewe!! ..kuwafanyia ushenzi unajikomoa weye mwenyewe kabisaaa bila chenga!

ukitenda mazuri ni weye mwenyewe kabisaaa bila chenga!! huwakomoi wao utapo kuwa unazunguka na Dunia mpaka unalia poo!,....wao hawapo hapo ungewakumbuka mpaka ulie pooo!! kwa akili hizi za kuwakomesha sizo kabisa!..tena ushukuru mara kumi ziliondoka na zaka utoe!

Hao ukipata kazi wape wale/wanywe mpaka wasaze!! na kila wakikuhitaji uwe na kimberembere km chote yaani wa kwanza kufika utoe zaidi ya walivyo toa.......... mengine yooote fanya kufuta ...uone maajabu ya Dunia

utakavyo iweka mkononi mwako mpaka ushangae hata ukipita majani hayo hayoo!! yanakupa shikamooo Mama pretty!...njia rahisi ya kusahahu mabaya yao ni kuwa wewe mama pretty Jifanye km walikuwa wana kufundisha kujitegemea!
 
Wakuu habari,

Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo. Mtanisamehe mimi sio mwandishi mzuri ila nitajitahidi nieleweke.

Mimi nimebahatika kusoma systematically kama ilivyo mfumo wa elimu wa Tanzania, yani kuanzia std7, f4, f6 mwisho chuo kikuu.

Sasa kipindi nimemaliza f4 wakati nasubiri matokeo niliwaomba kuwa nikasome hotel management kwa sababu shule niliosoma tulikuwa tukisoma cookery ambayo naipenda na kwenye kupika mash'Allah si haba, nikaona vyema niende kupata ujuzi zaidi lakini nilipopeleka hili wazo nyumbani walinikatalia kwa kunipiga chenga mpaka muda ukaisha and mind you, kipindi hicho nipo tu nyumbani sina issue na ukiomba pesa hupewi.

Japokuwa nilikua najiwekea akiba zangu yani mfano nikipewa elfu 3 ya shule nlikua natoa buku yani hiyo buku ni nauli pamoja na kula shule then elf 2 ndo akiba yangu kwa hiyo kwa wiki nlikua natunza sh. elf 10 ambayo ilikua inanisaidia matumizi yangu. Nikiri kusema kuwa material things mbalimbali nilikua najinunulia mwenyewe .. sijawahi kuomba nyumbani pesa yoyote ya matumizi yangu ya kike zaidi wazazi wangu walikua wanajua kulipa tu ada pamoja matumizi ya shule!

Najaribu tu kufupisha, baadae nikawaomba niende nkasome certificate& diploma ndipo niende chuo kikuu walinikatalia tena wazi sio kwamba nilikua sijitambui lakini nature ya familia yangu ina tabia ya kudharau mawazo ya mtu bila kuyapima ..nkasema anyway kwa kuwa bado nipo chini yao na ninawategemea wacha tu niwaskilize, kwa hiyo nikaenda boarding school!

Nikafaulu tena kujiunga na chuo kimoja hapa Tanzania, niliomba mkopo ila sikupata kwa hiyo ada nikawa nategemea wazazi wangu pamoja na matumizi, wakati wote huo hakuna anaejali kuwa mimi ni mtotonwa kike nina mahitaji mengi.. nkasema fresh...

Nikaanza semester ya kwanza maisha magum, nikachekecha akili nilikua nna dada ambae tumesoma wote A level alikua anakaa nje ya hostel za chuo..
Nikamuomba niwe napikia jiko lake na gesi ikiisha mimi nitagharamia kuijaza akakubali..
Kwa hiyo nikawa natangaza menu ya chakula watu wanaweka oda mida ya kuanzia saa 9 mchana napika kwa ajili ya hizo oda maana nilifanya kwa jioni tu ili ratiba yangu ya darasani isiharibike kwa hiyo nikaanza taratibu kujitegemea completely..

Baada ya muda fulani nkatafuta chimbo la viatu nkapata nikawa nachukua viatu nazungusha hostel za chuo na nje ya chuo nikiwa na rafiki yangu wakati mwingine tunafanya biashara mseto yani hatujastick kwenye biashara moja.

At least maisha yakawa yanaenda, baadae tulitakiwa kuishi nje ya hostel za chuo, nikafanikiwa kununua godoro pamoja na kitanda, nikapata na chumba ambacho kipo affordable nkapanga.

Tukaanza semester nyingine, baba alikua akinipa ada nusu semester na kama kuna michango mingine atatoa yote. Basi hiyo semester nikatoa kiasi kidogo cha ada nikannua vitu muhim vya ndani nkawa napambana kuirudisha hivyo hivyo as usual mpaka nkamaliza chuo ndo yakiwa maisha yangu ya kujitafutia.

Sasa mwishoni nakaribia kumaliza, nilikua nmepanga kuwa nitimize baadhi ya malengo yangu ya kusoma ujuzi tofauti kidogo.
Kuna ndugu yetu yupo mkoa jirani na nilipokua tulikua tukiwasiliana aliposikia npo hapo jirani, kuna kipindi alinisaidia PC yake ya kazini baada ya kuibiwa ya kwangu ambapo pia sasa nimemaliza matumizi yake inabidi niirudishe. Kwa hiyo nilimuomba anisaidie nikienda nipate mafunzo ya udereva akakubali, nikawataarifu nyumbani kuhusu hilo jambo wakakubali pia.. lakini ajabu ilipokaribia kuondoka wakanizuia kuwa hakuna kwenda huko tena! Nikiwauliza sababu wanajiumauma! Nawajua vizuri! Niliumia ila sikua na jinsi zaidi ya kuwasikiliza.

Huyo ndugu yetu yupo kwenye system ambapo niliongea nae pia akaniahidi kuweza kupata sehem ya kujishikiza kulingana na taaluma yangu ya chuo, kwa hiyo hilo pia likayeyuka!

Yote kwa yote wazazi wangu hawafaham changamoto ninayopitia kwan nimekua mtu mkimya nisieongea nayopitia kutokana na kunionesha kutoguswa/kujali hivyo ni tabia yangu kunyamaza tangu nikiwa mdogo. Na nina siri nyingi sana sina mtu wa kumueleza.

Wakati mwingine nawashangaa watu wanasema wanapenda wazazi/mama zao au wapo nao karibu kiasi wanaweza kuwaambia kila kitu ila kwangu ni tofauti😥 sijui kama kuna upendo wa namna hiyo kwangu😫 kwa hiyo vutu vingi napitia kimya kimya mpaka natatua changamoto zangu peke yangu.

Anyway nisiwachoshe , ushauri naoomba ni huu.

Kwa sasa nina akiba kiasi ninayoweza kujisomesha udereva je niende? Maana nimerudi nyumbani sina nachofanya zaidi ya kusengenywa na wazazi wangu😪

Kingine kwa sababu ninavyo vitu vya kuanzia maisha na ramabi at least ninayo, je niondoke nyumbani nikapange niendelee kujitafutia? Maana nipo in the middle of 20's.. naona nyumbani pameanza kunilemaza kiaina.

Nawaheshimu wazazi wangu ila kwa baadhi ya maamuzi yangu watanisamehe. Nishaurini hapo. Nina mengi sana labda nitapata kuyasema wakati mwingine nipunguze uchungu wangu.
Du…kisa cha kushangaza hiki.
Lakini kama wewe ni dada, wa kulaumiwa sana ni mama yako.
Hana ukaribu na wewe.
Yote unayojifanyia ni ya kawaida kabisa kwa binti, ila unakosa ule ukaribu wa kusikilizwa.

Wazazi wengi wanawapoteza watoto wao kwa hali kama hii, huyu dogo akipata mshawishi atakayemghilibu akili, hata ruhusa hataomba.
Utasikia tu binti katoweka nyumbani.
Muhimu binti uongee na mama yako kwa undani na umweleze hisia zako.
Asipokusikiliza bado, waambie wazazi uwaombe baraka zao na uendelee na maisha yako.
 
Sikia dogo wkt mwingine wazazi wanarogwa. mie kwa mfano nilisepa kivyangu kwa kozi nayoitaka kufika kulechuo bana nikawa mpiga picha mzuri tu!....rovin' photographer! basi nikasoma weeeeee!! bila salamu kuwapa!!

nKamaliza nkafanya kazi nkamaliza nikaenda tena chuo kikuuu!! ndo wakajua kwa mbaaali hilo toto liko UDSM, wakalewa mpaka leo!
Ndio hivyoo
 
Hapo ndo huwaga nachokaga kabisaaa!!........wao km wao! wakikupa karo ya shule ni kitu kikubwa saaaana!! mengineyo ni wewe mwenyewe!! ..kuwafanyia ushenzi unajikomoa weye mwenyewe kabisaaa bila chenga!

ukitenda mazuri ni weye mwenyewe kabisaaa bila chenga!! huwakomoi wao utapo kuwa unazunguka na Dunia mpaka unalia poo!,....wao hawapo hapo ungewakumbuka mpaka ulie pooo!! kwa akili hizi za kuwakomesha sizo kabisa!..tena ushukuru mara kumi ziliondoka na zaka utoe!

Hao ukipata kazi wape wale/wanywe mpaka wasaze!! na kila wakikuhitaji uwe na kimberembere km chote yaani wa kwanza kufika utoe zaidi ya walivyo toa.......... mengine yooote fanya kufuta ...uone maajabu ya Dunia

utakavyo iweka mkononi mwako mpaka ushangae hata ukipita majani hayo hayoo!! yanakupa shikamooo Mama pretty!...njia rahisi ya kusahahu mabaya yao ni kuwa wewe mama pretty Jifanye km walikuwa wana kufundisha kujitegemea!
Nimeshajifunza.. asante 🙏🙏
 
Du…kisa cha kushangaza hiki.
Lakini kama wewe ni dada, wa kulaumiwa sana ni mama yako.
Hana ukaribu na wewe.
Yote unayojifanyia ni ya kawaida kabisa kwa binti, ila unakosa ule ukaribu wa kusikilizwa.

Wazazi wengi wanawapoteza watoto wao kwa hali kama hii, huyu dogo akipata mshawishi atakayemghilibu akili, hata ruhusa hataomba.
Utasikia tu binti katoweka nyumbani.
Muhimu binti uongee na mama yako kwa undani na umweleze hisia zako.
Asipokusikiliza bado, waambie wazazi uwaombe baraka zao na uendelee na maisha yako.
Nlipata wakati wa kuzungumza nao tena.. wakanielewa.. kwa sasa naishi kivyangu na nlivyokuwa natamani nimeshaanza kutimiza... 🙏🙏
 
Mimi nipo unaweza niambia... kidding..!
Hapo nilichoona Mimi wewe kuwa mtoto wa kike wazazi wako wanaangaika usalama wako kwanza ila pia inaonesha uchumi wa home ni wakawaida nikushauri tu.. km unataka kutoka hapo ni wazo nzuri unaweza kuwaambia kumepata part-time job mkoa x ukaondoka zako hapo kwa amani na wakakupa baraka zao ni muhimu Sana..

Ila ukitoka hapo ukatulie huko upambane kweli.
umeshaswma kwao ni familia flani ya kawaida na kama unavyojua familia zetu za kiswahili hizi zilivyo,

ukiwaambia umepata kazi huwa wanategemea makubwa sana , sasa huoni kama bado itakuwa ngumu kwake?

sababu akiondoka tu nyumbani baada ya mwezi utaskia tunaomba pesa ya luku , mara oooh mwezi ujao jitahid basi utununulie madirisha mawili tumalizie chumba flan kumbe we uko ulipo huna kazi wala nini unaunga unga tu maisha
 
Back
Top Bottom