kwa nini humu ndio umeambiwa waganga wa mapenzi wanapatikana fikiri kwa kabla uja post..
Jaribu kuongea na Dr Slaa anaweza kukutafutia hata mke aliyeachwa na mtu.
Natafuta mchumba sipati nitumie mbinu gani niweze kupata?
<br />Jaribu kuongea na Dr Slaa anaweza kukutafutia hata mke aliyeachwa na mtu.
una umri gani?kazi gani wafanya?umetafutia wapi wachumba?
Jaribu kuongea na Dr Slaa anaweza kukutafutia hata mke aliyeachwa na mtu.
Nina miaka 30, sijapata kazi bado nimemaliza chuo miaka miwili iliyopita, natafuta kote kanisani, mitaani hasa mazingira nayo ishi..
sasa hata kazi huna unatafuta mchumba....makubwa haya!!!