Naomba Ushauri wanajamii Forums

Good People

JF-Expert Member
Aug 6, 2016
945
1,817
Niliingia Katika uhusiano na Msichana Mmoja nikafanikiwa kufanya nae mapenzi sasa cha ajabu kila nikiwa nachati naye nikawa namwambia amsalimie mdogo wake akawa ana mind ooh inaonekana unampenda sana huyo sijui Ulinitongoza kwa bahati mbaya ( Kimoyoni ni kweli kwa sababu mdogo wake ni mzuri sana) sasa mdogo wake naye alionesha dalili za kunitamani ilibidi nianze mishe fasta......

Na hiyo issue Dada yake anaijua kabisa sasa cha ajabu mambo yamebadilika kuna Mtu kawapa akili hawa nimeharibu kabisa mpaka aibu na Mdogo wake namkubali sana hawa ni Young girls 20 and 18 year old respectively ila ninaamini kuna mtu aliwasanua kwani tulikua tunaenda vizuri.

Niendeleze kukaza kwa huyu mdogo wake au niuchune tuu disko limeingia mmasai.

IMG_20161230_111805_436.jpg
 
mmoja 18, mwingine 20, bila shaka we una 21 afu unaishi geti kali
 
Umejidharaulisha sana. Sidhani kama kuna mwanamke anapenda mtu asiyejielewa.
 
Ndio maana max anapewa kesi kutokana na watu wenye akili kama zako
 
Ucha ufala wewe, unawaumiza hisia wote. Heshimu wanawak, heshimu uhusiano walio nao. Utawavuruga bure
 
hii dunia iko na miujiza mbaya mbovu kuna wehi unakuta kaanza kwa mama anashuka dada mkubwa anaendelea kula wadogo za dada mkubwa mpaka anamaliza family nzima
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom