kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,515
- 12,599
Habari wakuu
Kuna mwanamke nimezaa nae mtoto, huyu mwanamke ni muajiriwa mahali flani hapa mjini, mshahara wake ni kama 800,000/= Hivi.. So binafsi Huwa kila mwezi nampa kama laki tatu to laki nne kama pesa ya matumizi ya huyu mtoto. Ilitokea akagundua kuwa niko na mahusiano na binti mwingine, toka siku hiyo amekua mkali kwangu. Imefikia point anasema pesa ya matumizi nimpayo ni ndogo hivo anataka nimuongezee otherwise anataka kunipeleka ustawi wa jamii.
Naombeni mawazo yenu wakuu, kiukweli uwezo wa kumpa pesa zaidi ya hiyo ninayompa saivi sina.
Kuna mwanamke nimezaa nae mtoto, huyu mwanamke ni muajiriwa mahali flani hapa mjini, mshahara wake ni kama 800,000/= Hivi.. So binafsi Huwa kila mwezi nampa kama laki tatu to laki nne kama pesa ya matumizi ya huyu mtoto. Ilitokea akagundua kuwa niko na mahusiano na binti mwingine, toka siku hiyo amekua mkali kwangu. Imefikia point anasema pesa ya matumizi nimpayo ni ndogo hivo anataka nimuongezee otherwise anataka kunipeleka ustawi wa jamii.
Naombeni mawazo yenu wakuu, kiukweli uwezo wa kumpa pesa zaidi ya hiyo ninayompa saivi sina.