Wakubwa poleni na mjukumu na wezangu habarini za mihangaiko.
Kama mada inavyojieleza, nina kiwanja kipo eneo zuri tambarare kiasi hali twamishi maji yani kuna kamwinuko.
Asili ya udongo ni mfinyanzi, ninawaomba wajuzi wa ujenzi wanisaidie katika ujenzi nizingatie nini zaidi ili kuepusha nyufa kwenye nyumba kama mjuavyo huu udongo kipindi cha jua hupasuka.
Pia naomba wazo la kutumia mawe au kutotumia kwenye msingi nilipata mawazo ya watu wanasema kwenye huo udongo ni vizuri kutotumia mawe kwenye msingi Bali tofali za kulaza cozi kama nne chini.
Kama mada inavyojieleza, nina kiwanja kipo eneo zuri tambarare kiasi hali twamishi maji yani kuna kamwinuko.
Asili ya udongo ni mfinyanzi, ninawaomba wajuzi wa ujenzi wanisaidie katika ujenzi nizingatie nini zaidi ili kuepusha nyufa kwenye nyumba kama mjuavyo huu udongo kipindi cha jua hupasuka.
Pia naomba wazo la kutumia mawe au kutotumia kwenye msingi nilipata mawazo ya watu wanasema kwenye huo udongo ni vizuri kutotumia mawe kwenye msingi Bali tofali za kulaza cozi kama nne chini.