Chakushangaza ANATAKA Mimi Ndo niende hospital...wakati Mimi siwashwi Wala Sina shida yoyoteHuenda ana magonjwa ya ngozi kama vile fungus bila yeye kujua...mwambie aende hospitali
Sent using Jamii Forums mobile app
Chakushangaza ANATAKA Mimi Ndo niende hospital...wakati Mimi siwashwi Wala Sina shida yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Yapo baadhi ya magonjwa yanayoathiri uume ambayo hayasababishwi na vijidudu vya aina yoyote.Mpenzi wangu amekuwa akilalamika kuwa tukifanya Mapenzi anawashwa uume.. Hivyo inabidi tutumie Kinga. Je, hii inaweza kuwa inasababishwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpenzi wangu amekuwa akilalamika kuwa tukifanya Mapenzi anawashwa uume.. Hivyo inabidi tutumie Kinga. Je, hii inaweza kuwa inasababishwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwenda una fungus hatari ambavyo wewe kwako hawakudhuru ila mwingine wanamdhuru ushauri wangu koga sawasawa, jisafishe chini mara kwa mara usichoke ili uweze kuangamiza vijiduduMpenzi wangu amekuwa akilalamika kuwa tukifanya Mapenzi anawashwa uume.. Hivyo inabidi tutumie Kinga. Je, hii inaweza kuwa inasababishwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimdanganye Mwenzio, Ni Bora wakae chini Washauriane, Kufia hatua ya kumwambia hivyo pengine ameshajaribu huko Nje hawashwi So tatazo linaweza kwakeUsikubali kuburuzwa
Fungus Ni uchafu! koga sawasawa fua nguo zako jifute sawasawa uwone Kama utapata fungus, tatizo hupendi kuambiwa ukweliKwaiyo fungus inapona kwa kuoga na kujisafisha...kwanza najisafishaje hua siingizagi vidole ukeni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hataki peku huyoMpenzi wangu amekuwa akilalamika kuwa tukifanya Mapenzi anawashwa uume.. Hivyo inabidi tutumie Kinga. Je, hii inaweza kuwa inasababishwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ipo kubwa, yaani kwa maneno mengine anataka kusema K yako ina features sawa sawa na upupu.Chakushangaza ANATAKA Mimi Ndo niende hospital...wakati Mimi siwashwi Wala Sina shida yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri sana hili.
Umenichekesha...upupu ninao Mimi ila unamuwasha mwingine... hahahahahahaShida ipo kubwa, yaani kwa maneno mengine anataka kusema K yako ina features sawa sawa na upupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hyperkid, Kwaiyo fungus inapona kwa kuoga na kujisafisha...kwanza najisafishaje hua siingizagi vidole ukeni...
Sent using Jamii Forums mobile app