aleesha
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 776
- 1,121
Habari zenu wana jukwaa? Mimi kwa sasa ni Mkaazi wa Zanzibar, niliporudi nyumbani nilivitiwa na Muonekano wa Nissan March nikaamua niinunue, ila Marafiki zangu wa karibu wamekua wananilaumu sana kwa nini nimenunua Nissan March na nisinunue gari za Toyota kama IST?
Hivo wana jukwaa nawaombeni msaada wenu jinsi gani naweza kukihudumikia hiki kigari, na pia nawaombeni mnifahamishe uzuri wake na udhaifu wake.
Naamini nitapata mashirikiano kutoka kwenu.
Nissan March
Hivo wana jukwaa nawaombeni msaada wenu jinsi gani naweza kukihudumikia hiki kigari, na pia nawaombeni mnifahamishe uzuri wake na udhaifu wake.
Naamini nitapata mashirikiano kutoka kwenu.
Nissan March