FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,022
- 2,591
Habar ya Christmass wana Jf.
Naombeni ushauri wenu wa namna ya kuhifadhi pesa za kikundi. Kikundi chetu kina watu 40 lakini sio rasmi ila huwa tuanafanya michango ambapo tumefikia hatua ya kuwa na kiasi kizur cha pesa.
Shida sasa kifungua account benki ya kikundi tulipata changamoto maana signatories wanaotaka na wanachama hatuko sehemu moja tumetawanyika.Hvyo pesa zinakaa kwa mhasibu as cash which is risk.
Sasa basi nimekuja kwenu naombeni wenye uzoefu namna nzuri na salama ya kuhifadhi pesa hizi.kama kuna benki pia zisizo na masharti magumu kufungua account ya kikundi cha watu wasio rasmi.
Asanteni and Merry Christmass kwa wote.
Naombeni ushauri wenu wa namna ya kuhifadhi pesa za kikundi. Kikundi chetu kina watu 40 lakini sio rasmi ila huwa tuanafanya michango ambapo tumefikia hatua ya kuwa na kiasi kizur cha pesa.
Shida sasa kifungua account benki ya kikundi tulipata changamoto maana signatories wanaotaka na wanachama hatuko sehemu moja tumetawanyika.Hvyo pesa zinakaa kwa mhasibu as cash which is risk.
Sasa basi nimekuja kwenu naombeni wenye uzoefu namna nzuri na salama ya kuhifadhi pesa hizi.kama kuna benki pia zisizo na masharti magumu kufungua account ya kikundi cha watu wasio rasmi.
Asanteni and Merry Christmass kwa wote.