Naomba ushauri wa namna ya kuanzisha biashara

Hhm

Member
Apr 28, 2010
69
14
Naomba mwongozo katika kuanzisha biashara ya spare za magari kama option no. 1 n.a. option no 2 ninayoifikiria ni biashara ya construction Hardware 3. Biashara ya kilimo. Naomba ushauri nipewe na changamoto zake , risk zake n.a. dada zake n.a. namna ambavyo hasira inaweza kupokea.
 
Back
Top Bottom