Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 692
- 546
Habari mkuu?
Mimi ni mwanafunzi nimehitimu form six mwaka huu nasoma mchepuo wa HGE kwanini nimekuja hapa?
Wakuu
-course gani ninaweza kusoma pindi niwapo chuo pasipo kufikiria kujiajiliwa nimewaza kwanza IT,Agrobusiness
-je kuna ushauri mnaweza kuniongeza kwa hili juu ya course zingine wakuu?
Mimi ni mwanafunzi nimehitimu form six mwaka huu nasoma mchepuo wa HGE kwanini nimekuja hapa?
Wakuu
-course gani ninaweza kusoma pindi niwapo chuo pasipo kufikiria kujiajiliwa nimewaza kwanza IT,Agrobusiness
-je kuna ushauri mnaweza kuniongeza kwa hili juu ya course zingine wakuu?