Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,301
- 5,408
- Thread starter
- #41
mbona katika maelezo yangu sijaandika kozi yoyote ya afya
Nimemwambia ajaribu vya private.Ouk muambie achague hiyo MD uone km atapata, unabisha tyuuuh huku uhalisia unaujua. Mshauri achague faculty ambayo atakidhi na kufanikiwa kupata. Labda uainishe ni chuo kipi, ila sio hivi ninavyovijua hata mweny 1 ya 9 ngumu kupata, aaah tuwekane wazi bhana.
Ooooh hapo sawa, kumbe n private. Mie nkawa najua gvtNimemwambia ajaribu vya private.
Huo ni mtazamo wangu. Za kuambiwa changanya na zako.
cKuna mambo mawili ya kuzingatia katika hili
1... Entry points as required
2... Competition according to others performance. Ni ngumu kumchagua mtu mwenye CCC kisha ukamuacha wa ABC
Au kumchagua mtu mwenye DCD na kumacha wa CCC.
Au kimchagua a DDD na kumuacha wa CDDView attachment 1546519