Naomba ushauri wa kisheria kuhusu changamoto hii niliyoipata katika kiwanja changu

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,325
6,871
Habarini za Majukumu Wadau.

Naomba msaada wenu wa ushauri kisheria kulingana na tatizo langu.

Mimi nilinunua kiwanja cha makazi vilivyo kuwa vinauzwa na halmashauri X, sikukiendeleza kile kiwanja kwa muda wa miaka kadhaa. Baada ya kujipanga na kuwa tayari kukiendeleza kile kiwanja nikagundua ile halmashauri waliniuzia KIWANJA CHA MAKAZI AMBACHO BOMBA LA MAJI LA 4INCH LIMEPITA HAPO KATIKATI ya uwanja. Nimemwandikia sana barua DED wa ile halmashauri lakini majibu yao ni yakunikandamiza mimi sababu wanataka mimi ndio ni gharamie gharama za kulihamisha ilo bomba. Gharama ya kulihamisha ilo bomba ni 5.M

Naomba msaada wenu wa kisheria Je, naweza kuwaburuza mahakaman hii halmashauri ili wagharamie izo gharama za kulihamisha ilo bomba kutoka katika kiwanja nilicho uziwa na halmashauri iyo?
 
Pole sana mkuu kwa changamoto ulizozipata!
Kama una documents zote za luonesha uhalali wako wa kumiliki icho kiwanja na kimeshasajiliwa na kupimwa na kuingizwa katika ramani ya manispaa au mji,anzia kwa meya wa halamashaur au dc kuhoji ukiona wanasumbua nenda karipoti takukuru then fungua kesi kabisa mahakamani
 
Mie ningechimba halafu ningelipasua hilo bomba na wakija kuziba nalipasua tena. Kiwanja si changu. Naakkikisha huo mradi auendi ulipopaswa kwenda
 
Habarini za Majukumu Wadau.

Naomba msaada wenu wa ushauri kisheria kulingana na tatizo langu.

Mimi nilinunua kiwanja cha makazi vilivyo kuwa vinauzwa na halmashauri X, sikukiendeleza kile kiwanja kwa muda wa miaka kadhaa. Baada ya kujipanga na kuwa tayari kukiendeleza kile kiwanja nikagundua ile halmashauri waliniuzia KIWANJA CHA MAKAZI AMBACHO BOMBA LA MAJI LA 4INCH LIMEPITA HAPO KATIKATI ya uwanja. Nimemwandikia sana barua DED wa ile halmashauri lakini majibu yao ni yakunikandamiza mimi sababu wanataka mimi ndio ni gharamie gharama za kulihamisha ilo bomba. Gharama ya kulihamisha ilo bomba ni 5.M

Naomba msaada wenu wa kisheria Je, naweza kuwaburuza mahakaman hii halmashauri ili wagharamie izo gharama za kulihamisha ilo bomba kutoka katika kiwanja nilicho uziwa na halmashauri iyo?
Pole fanya hivi andika Demand letter mu address DED kuwa akulioe gharama zako zte za kiwanja au waliamishe bomba la sivyo utawaburuza mahakamani kwa utapeli wape muda then wakizingua kawafungulie kesi
 
Pole fanya hivi andika Demand letter mu address DED kuwa akulioe gharama zako zte za kiwanja au waliamishe bomba la sivyo utawaburuza mahakamani kwa utapeli wape muda then wakizingua kawafungulie kesi
*akulipe au alihamishe kwa gharama zao.
 
Habarini za Majukumu Wadau.

Naomba msaada wenu wa ushauri kisheria kulingana na tatizo langu.

Mimi nilinunua kiwanja cha makazi vilivyo kuwa vinauzwa na halmashauri X, sikukiendeleza kile kiwanja kwa muda wa miaka kadhaa. Baada ya kujipanga na kuwa tayari kukiendeleza kile kiwanja nikagundua ile halmashauri waliniuzia KIWANJA CHA MAKAZI AMBACHO BOMBA LA MAJI LA 4INCH LIMEPITA HAPO KATIKATI ya uwanja. Nimemwandikia sana barua DED wa ile halmashauri lakini majibu yao ni yakunikandamiza mimi sababu wanataka mimi ndio ni gharamie gharama za kulihamisha ilo bomba. Gharama ya kulihamisha ilo bomba ni 5.M

Naomba msaada wenu wa kisheria Je, naweza kuwaburuza mahakaman hii halmashauri ili wagharamie izo gharama za kulihamisha ilo bomba kutoka katika kiwanja nilicho uziwa na halmashauri iyo?
Barua hiyo inatakiwa iandikwe na wakili ukiandika wewe lazima watapuuza
 
Pole sana mkuu kwa changamoto ulizozipata!
Kama una documents zote za luonesha uhalali wako wa kumiliki icho kiwanja na kimeshasajiliwa na kupimwa na kuingizwa katika ramani ya manispaa au mji,anzia kwa meya wa halamashaur au dc kuhoji ukiona wanasumbua nenda karipoti takukuru then fungua kesi kabisa mahakamani
Okay asante sanaa mkuu ngoja niji re organize nimuone mayor then Dc
 
Mimi naona ni bora Tafuta wakili muelekeze Changamoto Yako Ili Akupe ushauri wa kisheria. Angalizo usiende mikono mitupu maana hizo ndio kazi zinazowaweka watu mjini.
 
Je kiwanja chako kimepimwa? tuanzie hapo kwanza
Yes kimepimwa kabisa na hao hao halmashauri ndio wakaviuza ....so mm nilinunua ofisi kwao tukaenda site ila tukiwa site hawakuwahi sema kama pale limepit bomba la maji la ukubwa wa inch 4
 
Back
Top Bottom