mwampepe
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 330
- 127
Sheria inasemaje kama mgonjwa amechati na muuzaji za dawa za asili (hawa wa jamii ya forever living, lakini sio forever living) lakini huyo muuzaji wa dawa akawa anaweka zile charting katika status yake ya whatsup.Yaani yale mliyoyaongea kama siri (ulivyotiririka ugonjwa unavyokusumbua) yeye ndio anayaanika katika whatsup status zake.
Sheria ya mtandao au sheria kwa ujumla inasemaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ya mtandao au sheria kwa ujumla inasemaje?
Sent using Jamii Forums mobile app