Naomba ushauri wa kisheria: anatumia jina na saini yangu kujipatia fedha

MR KUO

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
2,394
3,242
Wadau naombeni ushauri nimchukulie hatua gani za kisheria mtu huyu anayetumia jina langu na sain kwenye nyaraka zake za kuombea pesa kwa wafadhili? Iko hivi mwaka 2016 nikiwa mwanachama hai wa ngo's fulani hapa mjini tulifukuzwa uanachama kutokana na kulalamikia makosa ya uongozi uliokuwepo, hatukutaka Shari kila mtu akashika hamsini zake.

Cha kushangaza pamoja na kufutwa lakini bado majina yetu na sain zinatumika Kama kawaida kwenye nyaraka zao za kuomba na kupokea pesa toka kwa wafadhiri, mfano kumetokea semina majina yetu yanaonekana kwenye list ya washiriki na kusainiwa Kama kawaida Kama ishara ya kupokea pesa.haya nimeyagundua baada ya mmojawao kunitonya hizi habari nyeti. Naombeni ushauri niwachukulie hatua gani za kisheria Hawa watu?

NB badao natafuta ushahidi usiotiliwa Shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau naombeni ushauri nimchukulie hatua gani za kisheria mtu huyu anayetumia jina langu na sain kwenye nyaraka zake za kuombea pesa kwa wafadhili? Iko hivi mwaka 2016 nikiwa mwanachama hai wa ngo's fulani hapa mjini tulifukuzwa uanachama kutokana na kulalamikia makosa ya uongozi uliokuwepo, hatukutaka Shari kila mtu akashika hamsini zake.

Cha kushangaza pamoja na kufutwa lakini bado majina yetu na sain zinatumika Kama kawaida kwenye nyaraka zao za kuomba na kupokea pesa toka kwa wafadhiri, mfano kumetokea semina majina yetu yanaonekana kwenye list ya washiriki na kusainiwa Kama kawaida Kama ishara ya kupokea pesa.haya nimeyagundua baada ya mmojawao kunitonya hizi habari nyeti. Naombeni ushauri niwachukulie hatua gani za kisheria Hawa watu?

NB badao natafuta ushahidi usiotiliwa Shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
@Petro E. Mselewa Dragoon
 
Komaa kwanza na ushahidi ili wasikupige chini mahakamani na wakakudai fidia kwa kuwadhalilisha.
Angalizo; Sheria ni kile alichokisema Jaji/Hakimu. Kila la heri mkuu.

macson
 
Wanalotenda ni kosa la jinai, hapo hakuna kesi ya madai useme utawaburuta mahakamani ili ulipwe chochote.Hapo wala usipoteze muda sana ,toa taarifa kituo cha polisi ili kama vipi wafanye upelelezi usubirie kuja kuitwa kama shahidi wa jamhuri. Ukitumia gharama zako hapo hupati hata mia!.
Wadau naombeni ushauri nimchukulie hatua gani za kisheria mtu huyu anayetumia jina langu na sain kwenye nyaraka zake za kuombea pesa kwa wafadhili? Iko hivi mwaka 2016 nikiwa mwanachama hai wa ngo's fulani hapa mjini tulifukuzwa uanachama kutokana na kulalamikia makosa ya uongozi uliokuwepo, hatukutaka Shari kila mtu akashika hamsini zake.

Cha kushangaza pamoja na kufutwa lakini bado majina yetu na sain zinatumika Kama kawaida kwenye nyaraka zao za kuomba na kupokea pesa toka kwa wafadhiri, mfano kumetokea semina majina yetu yanaonekana kwenye list ya washiriki na kusainiwa Kama kawaida Kama ishara ya kupokea pesa.haya nimeyagundua baada ya mmojawao kunitonya hizi habari nyeti. Naombeni ushauri niwachukulie hatua gani za kisheria Hawa watu?

NB badao natafuta ushahidi usiotiliwa Shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanalotenda ni kosa la jinai, hapo hakuna kesi ya madai useme utawaburuta mahakamani ili ulipwe chochote.Hapo wala usipoteze muda sana ,toa taarifa kituo cha polisi ili kama vipi wafanye upelelezi usubirie kuja kuitwa kama shahidi wa jamhuri. Ukitumia gharama zako hapo hupati hata mia!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Sana ndugu mdau. Hakika umenifungua njia. Je nahitaji kuwa na ushahidi wa wazi au hao polisi ndo watapata ushahidi wenyewe Mimi nibaki Kama mtoa taarifa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama utakuwa nao watakuwa na eneo zuri la kuanzia, otherwise wewe jukumu lako ni kutoa taarifa kama raia mwema, ni kazi yao kufanya upelelezi.
Asante Sana ndugu mdau. Hakika umenifungua njia. Je nahitaji kuwa na ushahidi wa wazi au hao polisi ndo watapata ushahidi wenyewe Mimi nibaki Kama mtoa taarifa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom