Kasinja jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,034
- 1,792
Juzi ijumaa nilikutana na mtoto mkali kwenye club tukakubaliana kwamba Jumamosi aje kunitembelea. Sasa kuanzia saa saba Jumamosi nikaanza kutumika imenitoka Tsh. 60,000 kuanzia vinywaji, nyama aina ya mdudu na usafiri bajaji
Tumekubaliana kupiga show ya kibabe, kumbe yeye nia yake ale vyangu akimbie, baada ya kumgundua nika relax taratibu, akaondoka, usiku ule ule nikaanza kuchati naye akasema alikuwa anawahi shughuli zake. Nikauliza saa tano usiku unawai shughuli zipi, lakini nikaendelea kuchat naye akasema kwamba akipata muda atakuja mitaa yetu, nikasema sawa
Kumbe anataka akija anile tena akimbie, nilichofanya nikapiga picha hela nyingi room kwangu nikamwambia akija kuna mgao wake japo sijamtamkia kiasi, akavutika akaja nikamwambia hatuwezi kufanyia pale mpaka nitafte lodge, tukatafta lodge, baada ya kufika kule akawa ana zingua zingua
Nikatumia mbinu zangu nikala mzigo, namaliza namkabidhi Tsh. 15,000/- akaanza kwamba haiwezekani
Sasa kaenda Polisi eti nimembaka, imenishangaza. Je kuna ambae kakutana na mapakashume kama hawa?
Sijaenda kuripoti Polisi nimeambiwa kuripoti kesho asubuhi, Je nikifika pale si nawekwa ndani wazee au ikoje hii?
Tumekubaliana kupiga show ya kibabe, kumbe yeye nia yake ale vyangu akimbie, baada ya kumgundua nika relax taratibu, akaondoka, usiku ule ule nikaanza kuchati naye akasema alikuwa anawahi shughuli zake. Nikauliza saa tano usiku unawai shughuli zipi, lakini nikaendelea kuchat naye akasema kwamba akipata muda atakuja mitaa yetu, nikasema sawa
Kumbe anataka akija anile tena akimbie, nilichofanya nikapiga picha hela nyingi room kwangu nikamwambia akija kuna mgao wake japo sijamtamkia kiasi, akavutika akaja nikamwambia hatuwezi kufanyia pale mpaka nitafte lodge, tukatafta lodge, baada ya kufika kule akawa ana zingua zingua
Nikatumia mbinu zangu nikala mzigo, namaliza namkabidhi Tsh. 15,000/- akaanza kwamba haiwezekani
Sasa kaenda Polisi eti nimembaka, imenishangaza. Je kuna ambae kakutana na mapakashume kama hawa?
Sijaenda kuripoti Polisi nimeambiwa kuripoti kesho asubuhi, Je nikifika pale si nawekwa ndani wazee au ikoje hii?