Habari za humu wana MMU,
Mimi ni memba mzoefu humu hivyo nimeamua kuja na id mpya ili niweze kueleza hili jambo kwa uwazi zaidi.
Kwanza natambua kuna watu watakuja na kejeli,dharau na kutaka kulaani na kulalamika ila ikumbukwe lengo lakuleta uzi nikutaka kupata ufafanuzi au msaada kama upo kwa watu ambao wamakua kwenye maisha ya aina hii.
Kufanya maelezo mafup nikua mimi ni mhitimu wa chuo kimoja kikubwa tu nchi na niliajiriwa kwa miaka kadhaa mpk nilipoamua kijiajiri mwenyew.
Shida inayonisibu nikua nimekua sio muaminifu kwenye biashara kiasi cha kutengeneza madeni mengi sana kwenye kila biashara.Ieleweke sio kwamba nakua moja kwa moja sio mwaminifu ila inatokea tu circumstances then najikuta nipo kwenye madeni.
Biashara niliyonayo sasa iv imekua hivyo hivyo kiasi kwamba naona biashara chungu,yaan unakuta unadaiwa ana milion 3-4 ambazo ni madeni mbali mbali ambayo yanahusiana na biashara.
Mwanzo wakati naanza biashara zote( kwa biashara zote nlizowahi kufanya) hua biashara inakua nzuri sana ila muda unavyoenda mambo yanaanza kwenda kombo kiasi cha kufanya nianze kuingia kwenye madeni na biashara nyingine nimeacha nikiwa namadeni yawatu.
Kuhus imani zakishirikina nisingependa kuziongelea sana mana sina uhakika kwamba nikwel au nitabia tu yangu.
Kwa sasa hali yangu yakifedha ni dhohof lhali na nna madeni ambayo natakiwa niyalipe ambapo kwa muenendo huu sidhan kama ntayaweza.
Ushauri:
Naomba nishauriwe kwenye mambo kadhaa:
1.Namna yakuepukana na madeni kwenye maisha
2.Kua muaminifu kwenye biashara
3.Kutokutengeneza madeni mapya
4.Naamin huenda ata mambo yanakua maggum kwa sababu kuna watu nimewazima/nimewadhulumu au sijawalipa haki zao uko nyuma (namna yakaudeal na hichi kitu)
Note:
watu wote wanaonidai nimewaandika kwenye daftar maalum,kiasi cha pesa na namba zao za simu,ugumu umekua kwenye kupata fedha zakuwalipa.
Mambo ni mengi ila kwa leo naomba niishie hapa,ntaendelea siku za usoni.
Asanteni
Mimi ni memba mzoefu humu hivyo nimeamua kuja na id mpya ili niweze kueleza hili jambo kwa uwazi zaidi.
Kwanza natambua kuna watu watakuja na kejeli,dharau na kutaka kulaani na kulalamika ila ikumbukwe lengo lakuleta uzi nikutaka kupata ufafanuzi au msaada kama upo kwa watu ambao wamakua kwenye maisha ya aina hii.
Kufanya maelezo mafup nikua mimi ni mhitimu wa chuo kimoja kikubwa tu nchi na niliajiriwa kwa miaka kadhaa mpk nilipoamua kijiajiri mwenyew.
Shida inayonisibu nikua nimekua sio muaminifu kwenye biashara kiasi cha kutengeneza madeni mengi sana kwenye kila biashara.Ieleweke sio kwamba nakua moja kwa moja sio mwaminifu ila inatokea tu circumstances then najikuta nipo kwenye madeni.
Biashara niliyonayo sasa iv imekua hivyo hivyo kiasi kwamba naona biashara chungu,yaan unakuta unadaiwa ana milion 3-4 ambazo ni madeni mbali mbali ambayo yanahusiana na biashara.
Mwanzo wakati naanza biashara zote( kwa biashara zote nlizowahi kufanya) hua biashara inakua nzuri sana ila muda unavyoenda mambo yanaanza kwenda kombo kiasi cha kufanya nianze kuingia kwenye madeni na biashara nyingine nimeacha nikiwa namadeni yawatu.
Kuhus imani zakishirikina nisingependa kuziongelea sana mana sina uhakika kwamba nikwel au nitabia tu yangu.
Kwa sasa hali yangu yakifedha ni dhohof lhali na nna madeni ambayo natakiwa niyalipe ambapo kwa muenendo huu sidhan kama ntayaweza.
Ushauri:
Naomba nishauriwe kwenye mambo kadhaa:
1.Namna yakuepukana na madeni kwenye maisha
2.Kua muaminifu kwenye biashara
3.Kutokutengeneza madeni mapya
4.Naamin huenda ata mambo yanakua maggum kwa sababu kuna watu nimewazima/nimewadhulumu au sijawalipa haki zao uko nyuma (namna yakaudeal na hichi kitu)
Note:
watu wote wanaonidai nimewaandika kwenye daftar maalum,kiasi cha pesa na namba zao za simu,ugumu umekua kwenye kupata fedha zakuwalipa.
Mambo ni mengi ila kwa leo naomba niishie hapa,ntaendelea siku za usoni.
Asanteni