Niache 2
Member
- Aug 7, 2017
- 69
- 34
Habari za wakati huu wanajf
Madogo ndo hao Sasa lazima wafanye mtihani wa kidato cha sita.
Naomba ushauri wa course gani naweza kumpeleka dogo langu kwa matokeo haya:-
Chemistry-B
Biology-B
Mathematics-C
Kiswahili-C
Geography-C
Civics-D
History-D
Iwe course nzuri na yenye ajira na iwe tofauti na ualimu.
Ushauri tafadhali dogo kaniganda mpaka basi.
Karibu sana kwa wenye la kuchangia na udhoefu pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madogo ndo hao Sasa lazima wafanye mtihani wa kidato cha sita.
Naomba ushauri wa course gani naweza kumpeleka dogo langu kwa matokeo haya:-
Chemistry-B
Biology-B
Mathematics-C
Kiswahili-C
Geography-C
Civics-D
History-D
Iwe course nzuri na yenye ajira na iwe tofauti na ualimu.
Ushauri tafadhali dogo kaniganda mpaka basi.
Karibu sana kwa wenye la kuchangia na udhoefu pia.
Sent using Jamii Forums mobile app