Naomba ushauri: Technolojia ya ujenzi wa gharama nafuu Tanzania

Tanzania ni Dar Mkuu

Lazima kuoenyeza kwenye masoko mengine mkuu. We must expand our horizon. Watanzania tupo milioni 40 uki concentrate Dar tu una punguza market mpaka just 2 milion people. Pamoja na Dar ni vizuri kuangalia pia na sehemu zingine. AU unaonaje mkuu?
 

Lazima kuoenyeza kwenye masoko mengine mkuu. We must expand our horizon. Watanzania tupo milioni 40 uki concentrate Dar tu una punguza market mpaka just 2 milion people. Pamoja na Dar ni vizuri kuangalia pia na sehemu zingine. AU unaonaje mkuu?

mkuu nakwambia Tanzania ni Dar kwa maana moja tu, angalau mji wa Dar umeweza kupanuka mpaka Mbagala, Kibamba, Tegeta na Maeneo mengine kama hayo, hapo nina maana angalau hata kama nyumba ya kupangisha bei inakuwa hiko juu kidogo, Miji mingine Mwanza, Mbeya, Arusha na kilimanjaro imepanuka lakini ukitoka mita chache kutoka ccenter maisha yana tofauti kubwa sana, hali ya maisha kaitika miji hiyo imekuwa na unafuu katikati ya miji tu, TATIZO LINAKUJA PALEPALE, KUPATA KIWANJA NDANI YA MJI NI GHARAMA NA NJE YA MJI ITAKUGHARIMU SANA,
USHAURI WANGU JARIBU KUTAFUTA KIWANJA NDANI YA MIJI MIKUBWA NA UJENGE KITU KAMA APARTMENT HIVI, AMBAZO UTAZIWEKA HATA KAMA NI ZA KIWANGO CHA KAWAIDA HAPO INAWEZA KUKULIPA,
CHUMBA KIMOJA DAR SASA KINAFIKA 25,000 PER MONTH, BILA MAJI WALA UMEME, NA MJI KAMA DAR KUNA SHIDA SANA YA NYUMBA/VYUMBA, SASA KAMA UNAWEZA KUJA NA PLAN NZURI YA LOW TO MEDIUM COST HOUSE ITAKULIPA SANA, WATU WANA INVEST KWENYE NYUMBA LAKINI WANA INVEST KWENYE HIGH COST HOUSE NA VERY EXPENSIVE APARTMENTS
 
D'MAN cement hutengenezwa kwa kutumia clay+sandstone+limeston=raw meal alafu raw meal ikichomwa either kwa coal au gas unapata clinker.
Clinker+Gypsum+Additive=cement
Aditive yaweza kuwa limestone kama twiga au pozolana kama ya Mbeya na Tanga
Ukiangalia vyote ivyo ni vitu vinavyochimbwa ardhini na vingi vyapatikana Tz
Gharama ya cement inakuwa driven hasa na umeme kuna makampuni yanalipa mpaka 300mill kama bill ya umeme.
Slaa akiingia madarakani akahakikisha no coal importation tuchimbe ya mchuchuma/ngaka/kiwila na kuhakikisha kuwa kuna usafili reliable via train (cheap/bulky)ie TRC NA TAZARA bila kusahau cheap energy kwa kuwa tuna Uranium Namtumbo.
Kama cement ya Pakistan inafika apa kwetu na kuuzwa kwa 9000 kwa mfuko why not 5000tshs.
Ila mkumbuke kuwa as long as hiyo itakuwa bei ya kiwandani
 
mBONA HILO LINAWEZEKANA SANA TUU sema ukizoea kuona nyumba za marekani huwezi kufikilia Misonge ya morogoro!
Makazi bora yatapunguza kifua kikuuu siyo kuleta mbu net za kazi gani?? na wakafunge wapi??
 
Gharama ya cement inakuwa driven hasa na umeme kuna makampuni yanalipa mpaka 300mill kama bill ya umeme.
Slaa akiingia madarakani akahakikisha no coal importation tuchimbe ya mchuchuma/ngaka/kiwila na kuhakikisha kuwa kuna usafili reliable via train (cheap/bulky)ie TRC NA TAZARA bila kusahau cheap energy kwa kuwa tuna Uranium Namtumbo.
Kama cement ya Pakistan inafika apa kwetu na kuuzwa kwa 9000 kwa mfuko why not 5000tshs.
Ila mkumbuke kuwa as long as hiyo itakuwa bei ya kiwandani

Tatizo la watanzania sumu ya CCM ya kutubakiza kwenye lindi la umasikini ndiyo inatusumbua. Ukiamini unaweza yote yawezekana bali ukiamini hayawezekani kamwe hayatawezekana...........................Huo ndiyo ukweli na hakuna ukweli mwingine
 
Wakuu nafikiri MwanaFalsafa ameeleza vizuri soko analolenga ya nyumba za gharama kati ya 5m to 15m. Kwa mantiki hiyo naweza kusema kwamba bajeti hii haitaweza kujenga maeno ya miji mikuu hasa DSM. Gharama kubwa kwenye ujenzi wa nyumba inachangia pamoja na bei ya kiwanja na materials na technologia zinazotumika kwenye kujenga. Tukiangalia kuhusu materials na teknolojia za kujenga kwa Tanzania, mimi naamini kuna maeneo mengi sana hasa mikoani ambapo gharama ni nafuu sana. Kwa sehemu zinazopatikana matofali ya kuchoma unaweza kupunguza matumizi ya cement kwa asilimia kubwa. Pia mikoani gharama za mbao ni chini sana ukilinganisha na DSM. Kwenye suala la kuezeka unaweza kutumia udongo huohuo unaopatikana site kutengenezea vigae vya kupaua. Na kwenye suala la finishing ukatumua art simple itakayooendana na mazingira unayojengea

Kwa hiyo suala la kwanza la msingi kwenye ujenzi wa nyumba nafuu naamini ni kuangalia upatikanaji na utumiaji wa vifaa vya ujenzi na technolojia vinavyopatika eneo hilo.
 
Labda inawezekana.

Walau muanzisha topic amekuwa honest na kuzungumzia kuwa kabla ya yote unahitaji kuwekeza ili uweze ku-mine coal na Uranium kwa ajili ya kuzalisha umeme wa uhakika, n.k.

Aidha amekuwa honest kusema kuwa pamoja na yote hayo, still bei ya kiwandani itakuwa ndiyo hiyo TZS 5,000/- na siyo bei ya mlaji. Anyway, material conditions kama zilivyo leo bei hiyo haiwezekani na mpaka mazingira ya kuwezekana yaandaliwe huenda mwenye ahadi yake, Dr. Slaa, atakuwa tayari keshastaafu siasa!
 
ukiwa butu kichwani usidhani wote wako hivyo. Fikiri zaidi . Kodi ni ngapi? mnazochota ccm je? Ufisadi je?
 
D'MAN cement hutengenezwa kwa kutumia clay+sandstone+limeston=raw meal alafu raw meal ikichomwa either kwa coal au gas unapata clinker.
Clinker+Gypsum+Additive=cement
Aditive yaweza kuwa limestone kama twiga au pozolana kama ya Mbeya na Tanga
Ukiangalia vyote ivyo ni vitu vinavyochimbwa ardhini na vingi vyapatikana Tz
Gharama ya cement inakuwa driven hasa na umeme kuna makampuni yanalipa mpaka 300mill kama bill ya umeme.
Slaa akiingia madarakani akahakikisha no coal importation tuchimbe ya mchuchuma/ngaka/kiwila na kuhakikisha kuwa kuna usafili reliable via train (cheap/bulky)ie TRC NA TAZARA bila kusahau cheap energy kwa kuwa tuna Uranium Namtumbo.
Kama cement ya Pakistan inafika apa kwetu na kuuzwa kwa 9000 kwa mfuko why not 5000tshs.
Ila mkumbuke kuwa as long as hiyo itakuwa bei ya kiwandani

Hapa sioni mahesabu ya kiuchumi ya uzalishaji wa sementi na mpangilio wa bei. Yani wakati mwingine JF tunadanganyana kana kwamba kila mtu alikimbia umande.

Tuambie na tupigie mahesabu kwa kila mfuko moja wa cement (i) aina za malighafi za kutengenezea (ii) kiasi cha kila aina ya malighafi inayohitajika (iii) bei ya kila malighafi (iv) number na aina ya wafanyakazi (elimu/ujuzi), (v) mshahara wao (vi) value ya share ya capital (machinery) au fixed cost kwa mfuko moja (vii) value ya share ya gharama za kuhudumia machine na wafanyakazi, (viii) gharama za kiutendaji. (ix) gharama za utilities (umeme, maji, simu). Hivi vyote na vinginevyo lazima viende kwenye mahesabu ya bei ya mfuko moja wa cement, na ndivyo vinavyofanya bei ya cement inayoingizwa kutoka ng'ambo kuwa ya chini au ya juu.
 
D'MAN cement hutengenezwa kwa kutumia clay+sandstone+limeston=raw meal alafu raw meal ikichomwa either kwa coal au gas unapata clinker.
Clinker+Gypsum+Additive=cement
Aditive yaweza kuwa limestone kama twiga au pozolana kama ya Mbeya na Tanga
Ukiangalia vyote ivyo ni vitu vinavyochimbwa ardhini na vingi vyapatikana Tz
Gharama ya cement inakuwa driven hasa na umeme kuna makampuni yanalipa mpaka 300mill kama bill ya umeme.
Slaa akiingia madarakani akahakikisha no coal importation tuchimbe ya mchuchuma/ngaka/kiwila na kuhakikisha kuwa kuna usafili reliable via train (cheap/bulky)ie TRC NA TAZARA bila kusahau cheap energy kwa kuwa tuna Uranium Namtumbo.
Kama cement ya Pakistan inafika apa kwetu na kuuzwa kwa 9000 kwa mfuko why not 5000tshs.
Ila mkumbuke kuwa as long as hiyo itakuwa bei ya kiwandani.

Mimi nataka kusema kwamba kama raw material zipo na umeme upo basi uwezekano wa serikali ya jamhuri ya Muungano ya Tanzania kuuza mfuko wa cement kwa 4,000 inawezekana kabisa. sababu na uwezo inayo kabisa kama itatoa subside kwa wananchi wake , na hilo lawezekana kama mianya ya mafisadi itabanwa kikamilifu. hapo nyumba bora kwa kila Mtanzania itawezekana, barabara nzuri za saruji vijijini zitawezekana, nyumba bora za Walimu zitawezekana, ujenzi wa malambo ya kisasa kwa kutumia teknolojia ya kusambaza maji vijijini itawezekana,utengenezaji wa bomba za saruji kwa ajili ya kupitisha maji ya mvua na maji taka mjini Dar itawezekana, etc....etc...ikiwa hata ofisi za Chama Cha Mapinduzi chenyewe kuwa na ofisi zilizojengwa kisasa zaidi ukilinganisha na za sasa.
 
Ama kweli wa tz wajinga,serikali ilisema gesi ya songo songo ingepunguza gharama za uzalishaji cement wkt wa kupamba mradi wa songas ili wananchi waukubali!cha ajabu siku ya uzinduzi wa gesi wazo rais akageuka na tangu hapo kila kukicha cement yetu inapanda bei kadiri wawekezaji wapendavyo sababu eti kupanda kwa sarafu ya dola,kwani sisi tunanunua kwa dola?halafu cement ya pakistan na india inayoingizwa na zakaria au moetl ni bei ya chini na ni bora kuliko yetu.unapiga tofali 70 bila tatizo, yetu mwisho 40.inapigwa vita na viongozi wetu wanaohongwa complementary za cement na viwanda vya ndani
 
Alieanzisha mada ameyasema hayo kwa uaminifu. ama kwa hakika unaweza kuwa mchumi ukafa maskini kwa sababu ya pesimism. Njowepo is positive and attitude yake ni highly commendable. Kama wewe mchumi piga hesabu mwenyewe! Inawezekana given time and good governance of our natural resources. Tumuondoe JK tuanze mchakato! Tuumie sisi wajukuu wetu wafaidi! It's just fine!
 
Mkuu realtor umenena.

Tofali za kuchoma na vigae vya kupaua. solar for power kwa umeme, badala ya kutumia vibatali au kandili. Kule vijijini watu wanapoteza tumaini. Nadhani hawa wakulima wadogo wadogo ndio watakao nufaika zaidi na Plani ya JF MwanaFalsafa1.
 
Kuteremsha bei kweli kunaweza kuwasaidia maskini bila ya kudhibiti matajiri wenye pesa? Simenti yote itanunuliwa na matajiri...soko!
 
What about Equillibrium point?

Kama bei ikishuka mahitaji (demand yataongezeka) na kama ugavi (supply) hautaongezeka soko litapandisha bei kufikia point of DEMAND=SUPPLY
 
What about Equillibrium point?

Kama bei ikishuka mahitaji (demand yataongezeka) na kama ugavi (supply) hautaongezeka soko litapandisha bei kufikia point of DEMAND=SUPPLY

Usifikirie kizembe. The lower the price the higher the demand, but inorder to maximize revenue within low priced market inahitajika kuongeza supply.
 
Back
Top Bottom