Ndugu wapendwa, Je ni kweli kuna mfumo wa kutumia udongo wa mfinyanzi kwa kuchanganya na cement kidogo ukapata tofari zitakazo saidia kujenga nyumba kwa gharama nafuu? Ukitembelea web site Brick and Block Machine Manufacturers Hydraform wanasema interlocking bricks zinapunguza gharama za ujenzi kwa 50%, je kunaukweli? nipeni taarifa zaidi wadungu