Tangu 2018 nilianza kusikia maumivu ya kifua nikaenda hospital nikafanya x ray wakasema Early stage of intestinal lung disease nikapewa dawa lakini maumivu yaliendelea.
Nikarudi tena kwa muda tofauti nikafanya x ray 2 kwa nyakati tofauti tatizo wakasema ni pneumonia nikatumia dawa nyingi lakini maumivu yaliendelea.
Mara ya mwisho january 2022 nimeenda tena nimefanya x ray wameniambia nina asthma nimepewa dozi ya wiki 2 bado sijamaliza.
Maumivu makubwa yapo juu ya kifua mgongo mbavu na shingo pia nilipima TB lakini haikuonekana kwa hiyo wataalamu wanaweza kunitoa ushauri wa nini cha kufanya
Nikarudi tena kwa muda tofauti nikafanya x ray 2 kwa nyakati tofauti tatizo wakasema ni pneumonia nikatumia dawa nyingi lakini maumivu yaliendelea.
Mara ya mwisho january 2022 nimeenda tena nimefanya x ray wameniambia nina asthma nimepewa dozi ya wiki 2 bado sijamaliza.
Maumivu makubwa yapo juu ya kifua mgongo mbavu na shingo pia nilipima TB lakini haikuonekana kwa hiyo wataalamu wanaweza kunitoa ushauri wa nini cha kufanya