kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Ndugu zangu nina tatizo linalonisumbua sana siku izi ambalo sikuwa nalo apo mwanzo ili kuwa ijuma ine nilipata ajali nikiwa
Moyo wangu ukakata tamaa ya kuishi maana nilivyokuwa najisikia hakika ili kuwa hatari.
Kwanza nilikuwa nasikia maumivu makali, pili nilikuwa nasikia kama vile moto unawaka tumboni tumbo langu nikawa nasikia maumivu ya ajali na maumivu ya gesi tumboni nikawa naona kuwa ninataka kufa.
Nilivyokwenda hospitali doctor alinipima nikaonekana sina tatizo lolote bali ni maumivu tu ndo yanasumbua mwili wangu akanikataza kufanya kazi kubwa kubwa mpaka pale nitakapo pona kabisa sasa nikarudi nyumbani kufika Jumatano nikamuka yaani yale maumivu ya kawa yamesambaa mwili mzima mpaka kwenye mapafu nikawa nahisi kuwa mwisho wangu umefika nikawa nalia sana huku mawazo yakiwa mengi kichwani midamida nikawa fresh mawazo yakawa yameisha kabisa.
Sasa tulivyofika usiku nikasikia kichwa kizito sana kama vile ninataka kupoteza fahamu na kizunguzungu mida mida ikatulia kufika usiku mida ya saa 6 mapigo ya moyo yakawa yanaenda kasi nikawa naogopa saana familia yangu wakaita ambulance madoctor walivyofika moyo ukatulia tena wakaniuliza nini tatizo, nikasema tatizo mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kasi.
Wakanibeba hospitali wakaniweka île sehemu ya mangojeo maana nilikuwa siko mgonjwa baada ya hapo niliongea na Brother yangu kwenye simu akaniambia kama kuna chochote unachowazia achana nacho. Maneno ya bro wangu yakanipa nguvu.
Nikarudi nyumbani bila kuonana na doctor kufika Alhamisi asubuhi nikawa nahisi moyo tena unaenda kasi kama vile unataka kutoka nilivyotoka nyumbani kuzunguka mitaani nikahisi umepona kufika usiku ya Ijumaa mida ya saa saba usiku nikawa naona tena unaenda kasi kama vile unataka kutoka nikakosa raha saana nikajikaza nikalala kufika jioni ya saa kumi na moja ya Ijuma nikaona tena moyo unaanza kudunda kama vile unataka kutoka walivyokuja marafiki zangu wakanipa ushauri nikaona umetulia tena.
Sasa najiuliza ivi huu ni ugonjwa au
Maana nikiangalia sina kitu kinachokifikiria zaidi
Je, ile wasiwasi niliyokuwa nayo kipindi na pata ile ajali kuwa ninataka kutoka duniani ndo inaweza kuwa sababu au nini? Maana sielewi mimi.
Moyo wangu ukakata tamaa ya kuishi maana nilivyokuwa najisikia hakika ili kuwa hatari.
Kwanza nilikuwa nasikia maumivu makali, pili nilikuwa nasikia kama vile moto unawaka tumboni tumbo langu nikawa nasikia maumivu ya ajali na maumivu ya gesi tumboni nikawa naona kuwa ninataka kufa.
Nilivyokwenda hospitali doctor alinipima nikaonekana sina tatizo lolote bali ni maumivu tu ndo yanasumbua mwili wangu akanikataza kufanya kazi kubwa kubwa mpaka pale nitakapo pona kabisa sasa nikarudi nyumbani kufika Jumatano nikamuka yaani yale maumivu ya kawa yamesambaa mwili mzima mpaka kwenye mapafu nikawa nahisi kuwa mwisho wangu umefika nikawa nalia sana huku mawazo yakiwa mengi kichwani midamida nikawa fresh mawazo yakawa yameisha kabisa.
Sasa tulivyofika usiku nikasikia kichwa kizito sana kama vile ninataka kupoteza fahamu na kizunguzungu mida mida ikatulia kufika usiku mida ya saa 6 mapigo ya moyo yakawa yanaenda kasi nikawa naogopa saana familia yangu wakaita ambulance madoctor walivyofika moyo ukatulia tena wakaniuliza nini tatizo, nikasema tatizo mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kasi.
Wakanibeba hospitali wakaniweka île sehemu ya mangojeo maana nilikuwa siko mgonjwa baada ya hapo niliongea na Brother yangu kwenye simu akaniambia kama kuna chochote unachowazia achana nacho. Maneno ya bro wangu yakanipa nguvu.
Nikarudi nyumbani bila kuonana na doctor kufika Alhamisi asubuhi nikawa nahisi moyo tena unaenda kasi kama vile unataka kutoka nilivyotoka nyumbani kuzunguka mitaani nikahisi umepona kufika usiku ya Ijumaa mida ya saa saba usiku nikawa naona tena unaenda kasi kama vile unataka kutoka nikakosa raha saana nikajikaza nikalala kufika jioni ya saa kumi na moja ya Ijuma nikaona tena moyo unaanza kudunda kama vile unataka kutoka walivyokuja marafiki zangu wakanipa ushauri nikaona umetulia tena.
Sasa najiuliza ivi huu ni ugonjwa au
Maana nikiangalia sina kitu kinachokifikiria zaidi
Je, ile wasiwasi niliyokuwa nayo kipindi na pata ile ajali kuwa ninataka kutoka duniani ndo inaweza kuwa sababu au nini? Maana sielewi mimi.