fuvu la paka
Senior Member
- Mar 29, 2015
- 133
- 76
Wakuu hodi humu ndani
Nina omba ushauri kwa yeyote ambaye anataarifa au uzoefu nilimaliza undergraduate mwaka 2013, GPA ni Upper second ya 3.5 kwa mchepuo wa Elimu ikishabihiana na Psychology yaani Bachelor of education in psychology, kimsingi mimi ni Mwl kwa profession,
Ila kwa sasa Mungu amenisaidia namalizia Masters ya MBA MARKETING na lengo langu ni kufundisha vyuoni hata kama kuanzia vyuo vya Diploma..
Naomba Ushauti kwa wenzangu ambao mnakula mema ya nchi vyuoni huko nini kifanyike please.
Nina omba ushauri kwa yeyote ambaye anataarifa au uzoefu nilimaliza undergraduate mwaka 2013, GPA ni Upper second ya 3.5 kwa mchepuo wa Elimu ikishabihiana na Psychology yaani Bachelor of education in psychology, kimsingi mimi ni Mwl kwa profession,
Ila kwa sasa Mungu amenisaidia namalizia Masters ya MBA MARKETING na lengo langu ni kufundisha vyuoni hata kama kuanzia vyuo vya Diploma..
Naomba Ushauti kwa wenzangu ambao mnakula mema ya nchi vyuoni huko nini kifanyike please.