mchai
Member
- Jan 13, 2021
- 9
- 10
Naomba tu ushauri wa bure, huenda ukanipa mwanga. Mie yaani hadi leo hii nina interview more than ten Tanesco na kuna zingine najua kabisa hizi nimejibu well ila sijawahi hata kukosewa kuitwa kua nimepata na sifa wanazozitakaga nakuwa nazo.
Ninaabahati ya kuitwa kwa usaili ila kupata kazi sasa ndio bundiiii.
Ninaabahati ya kuitwa kwa usaili ila kupata kazi sasa ndio bundiiii.