Naomba ushauri, nimezoea kuendesha automatic sasa juzi nimepata manual Vitz

Nimecheka sana na comment za wadau, anyway manual ni kati ya gari nzuri sana na hata ukiendesha unahisi kabisa uko engaged na gari yako, binafsi sijaenda driving school hata kwa bahata mbaya ila nilijifunza auto na manual kupitia youtube na hadi sasa naendesha manual na wala sifikirii kuiacha.

Ukiwa kwenye foleni isiyotembea kwa muda huna haja ya kuchosha mguu kwa kukanyaga clutch weka tu neutral kanyaga zako break tu au piga zako hata hand break then relax, na ukiona foleni imeanza kutembea weka gear No. 1 (gear No. 2 sikushauri hasa kwa uwezo wa engine ya gari yako maana utaichosha clutch mapema). Then ukishaweka zako 1 anza kuachia clutch taratibu huku unaisikilizia gari ukiona imeanza kumove taratibu au mlio unabadilika, anza kuongeza mafuta kidogo kidogo, tena kama ni zile foleni za kusogea hatua mbili ukiweza kubalance clutch yako vizuri wala hutakuwa na haja ya kukanya mafuta maana usipokuwa makini kwenye mafuta unaweza ukabutua gari ya mbele yako.
Shida zote hizi za nini?

Hata kumfanyia mtu operation ya ubongo haipo complicated hivi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom