babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 12,894
- 15,646
Hawajui watu wa Mbeya huyu asiende kabisa huko maana atarudi na kiwiliwili tu kichwa wanabaki nacho.Mabinti wa Ngara sijui mnamatatizo gani! Wahangaza full,maigizo nakujiona wao ni wazuri sana, huko uendako tegemea mengi na sio kama unavyodhani! Unaweza enda ukarudi mguu umevimba, usichezee kabisa akili za watu,wanaweza kukufanya ndondocha!
Asijaribu kwenda.