Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,351
- 2,058
Habari za kazi wapendwa,
Kuna jamaa mmoja aliniuzia kiwanja mwaka jana mwezi julai ambapo makubaliano yalikuwa nimlipe awamu mbili ambapo awamu ya kwanza nilimlipa nusu na awamu ya pili nusu yake nikamalizia.
Sasa baadae nikawapeleka watu wa ardhi na kugundua kwamba bikoni zilizokuwa shambani hazikuwa za watu wa ardhi bali Huyo jamaa aliuza mara mbili eneo hilo yaani alimuuzia mtu mwingine.
Majaribio ya awali ya kusuruhisha yalishindikana ambapo nilimfungulia kesi.
Hukumu iliyotoka ni kwamba jamaa anatakiwa alipe faini ya elfu hamsini au afungwe jela mwezi mmoja.
Harafu baada ya mwezi mmoja jamaa anilipe hela wakati mie nilidhani aliyeuziwa mara ya pili ndio anatakiwa arudishiwe hela kisha mimi nibaki na kiwanja. Je haki imetendeka au nimuone wakili tukate rufaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa mmoja aliniuzia kiwanja mwaka jana mwezi julai ambapo makubaliano yalikuwa nimlipe awamu mbili ambapo awamu ya kwanza nilimlipa nusu na awamu ya pili nusu yake nikamalizia.
Sasa baadae nikawapeleka watu wa ardhi na kugundua kwamba bikoni zilizokuwa shambani hazikuwa za watu wa ardhi bali Huyo jamaa aliuza mara mbili eneo hilo yaani alimuuzia mtu mwingine.
Majaribio ya awali ya kusuruhisha yalishindikana ambapo nilimfungulia kesi.
Hukumu iliyotoka ni kwamba jamaa anatakiwa alipe faini ya elfu hamsini au afungwe jela mwezi mmoja.
Harafu baada ya mwezi mmoja jamaa anilipe hela wakati mie nilidhani aliyeuziwa mara ya pili ndio anatakiwa arudishiwe hela kisha mimi nibaki na kiwanja. Je haki imetendeka au nimuone wakili tukate rufaa?
Sent using Jamii Forums mobile app