Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Haya yote yanatokea mke mkubwa alikuwa wapi yani hajaongelewa sana humu

Kipo kitu kimejificha hapa miaka 18 sio rahic sisi wanawake ucgundue tabia ya mume nakusiwe na ugomv wowote Yani wiki tu tayar umejua kua ana mchepuko me nafkiria hapa nyumba kubwa alijua kuhusu nyumba ndogo na mke mkubwa akagombana na mume na hapo mume akahamishia makazi nyumba ndogo
 
Mzee wangu ukweli hapa ni kwamba kuachana hakuepukiki. Kwa kifupi ni kwamba yeye ni kama ameshakuacha ila wewe ndio unafosi muendeleze mahusiano, sasa sijui unamng'ang'ania wa nini wakati una mji wako mzuri tuu, hivi unachokipigania kwa huyo mchepuko ni nini hasa?

Sasa mzee wangu nakupa ushauri wa kuachana naye kwa amani:

Kwanza hakikisha mnaachana kisheria kabisa ili huko mbeleni asije aka backfire. Peaneni talaka kwa nyaraka zinazotambulika kisheria.

Pili, hiyo nyumba ulomjengea muachie iwe yake na wanao ambao obvious lazima wawe na mahali pa kuishi. Ila cha kufanya ikatie kiwanja chake na eneo linalobaki piga fensi asihusike nalo.
Yaani nimwachie nyumba kweli? Nikiwa hai naona anafaidi nyumba yangu na wanaume wengine!?

Kweli? Hapana hapo sasa mnataka ndio mniue,
Kabisa au mimi niue mtu, sipo tayari kumwachia nyumba yangu, labda kama mimi ndio ningeonyesha simtaki, ningemwachianyumba ili apunguze machungu, lakini yeye anifanyie vituko vyote hivyo halafu nimwachie nyumba, hapana,
 
Mkuu uko sure kweli Mke mkubwa hafahamu yote haya? Nasema hivyo kwa kuwa kuna sehemu umesema una mtoto anasoma kwa mama yako,je mkeo mkubwa hana mazoea na ukweni? Hamna mtu anaweza kumpa yanayoendelea pale ukweni kama yule msamaria mwema aliyekujulisha mkeo anahamisha vitu mjini? Wanawake ni wazuri sana wa kupandikiza spies ili kupata taarifa flani flani mkuu
Kwa sababu story ilikuwa mwanzo sana, na story ilikuwa inahusu bi mdogo, sikutaka sana kumzungumzia yeye, nimeona hata wengine wanasema muda mwingi nilikuwa natumia kwa bi mdogo, hapana nilikuwa nabalanci sana muda wangu ili kila upande ulizike, na kuwa kazi zangu zilikuwa ni za masaa tofauti tofauti, mala usiku mala mchana, mala weekend unaenda unapumzika katikati ya wiki (shift), mala safari, mala overtim e, hayo yote yalisaidia sana kuonekana pande zote na wakawa wamezoea hiyo mienendo yangu,

Kuhusu bi mkubwa kugundua alikuja gundua baadaye sana, kwanza baada ya bi mdomo kuniwekea chupi ya mtoto kwenye bag langu, wakati nimetoka safari,
Hapo pamoja na kujitetea ndio alipoamza kuweka Q mark,

Baadaye sana sasa ikawa wazi kabisa ,
Ila alinaambia yeye hataki mtoto kwake, kama ni nyuma niwajenge e huko huko
 
Kama nitapata muda kesho nitakujibu kwa kina

Kwa sasa hivi tu; maisha ya ndoa is not all about sex, maana it's as if mke ni chombo tu cha kumstarehesha mwanaume kitandani so lazima tuhakikishe kila siku mwanaume ana wa kumstarehesha bila hivyo atakufa. Halafu kuna muda majukumu yanakuwa mengi na hata hiyo sex hatufanyi daily. Huyo mume wa kushindwa kukuvumilia ubleed siku 3-4 kwa kweli aombewe tu apate na vitu vya msingi vya kumkeep busy mfukuze na umaskini. Kwenye maisha unajifunza tu kuridhika na hali yako/mtu wako. Kama ambavyo ukiwa huna hela unakunywa maji unalala huendi kuiba, kumbe unaweza ukaridhika na papuchi ya mkeo na ukamuacha tu ableed kwa amani bila kwenda kuoa mke mwingine. Sijawahi kusikia mume kafa kwa kukosa sex

Siku zote moyo u radhi lakini mwili ni dhaifu, ndiyo maana tunafundishwa kuitiisha miili (kuunyima mwili vitu vinavyovipenda). Mtu yoyote mwenye akili timamu lazima atajua kuucontrol mwili wake. Tatizo tunaiendekeza miili na ngono tangu tukiwa vijana, tukifika ndoani mwendo ni ule ule. Afu kwani sisi wanawake tukiolewa tu tamaa zetu zinakufa? Mbona tunakuwa waaminifu kwa wenzi wetu? Uaminifu ni chaguo, ni maamuzi period. Usipoamua, hata uoe wanawake nane na hakuna anayeumwa wala kubleed; bado utaenda kutamani na kulala na mwanamke mwingine nje.

N:B Mimi ni mke wa mume mmoja na ndiyo mke wake wa pekee hadi kifo kitutenganishe, na namshukuru Mungu tunaenjoy ndoa yetu. Wazazi wangu wameishi ndoa ya mke na mume mmoja hadi kifo kimewatenganisha; nitafanya hivyo pia.
Na ndoa ni ya mume na mke mmoja.
Hizo nyingine ni uzinzi na ushetani tu unaotafutiwa njia ya kuuhalalisha.

Eti maumbile!!!
Kuanza kuuhalalisha udhaifu kwa kisingizio cha maumbile ni upumbavu Sana.
 
Kwa sababu story ilikuwa mwanzo sana, na story ilikuwa inahusu bi mdogo, sikutaka sana kumzungumzia yeye, nimeona hata wengine wanasema muda mwingi nilikuwa natumia kwa bi mdogo, hapana nilikuwa nabalanci sana muda wangu ili kila upande ulizike, na kuwa kazi zangu zilikuwa ni za masaa tofauti tofauti, mala usiku mala mchana, mala weekend unaenda unapumzika katikati ya wiki (shift), mala safari, mala overtim e, hayo yote yalisaidia sana kuonekana pande zote na wakawa wamezoea hiyo mienendo yangu,

Kuhusu bi mkubwa kugundua alikuja gundua baadaye sana, kwanza baada ya bi mdomo kuniwekea chupi ya mtoto kwenye bag langu, wakati nimetoka safari,
Hapo pamoja na kujitetea ndio alipoamza kuweka Q mark,

Baadaye sana sasa ikawa wazi kabisa ,
Ila alinaambia yeye hataki mtoto kwake, kama ni nyuma niwajenge e huko huko
Unaona sasa? Hukuweka mambo yote wazi. Anyways.. usiku mwema mzee wangu
 
Mtu asiyeweza kuamua kuridhika na mmoja; hata apewe mia hatoweza kuridhika pia. Hatuoi/kuolewa na malaika; ila pamoja na mapungufu yao bado tumeamua kuwachagua na kuridhika na hao hao
Na ndoa ni ya mume na mke mmoja.
Hizo nyingine ni uzinzi na ushetani tu unaotafutiwa njia ya kuuhalalisha.

Eti maumbile!!!
Kuanza kuuhalalisha udhaifu kwa kisingizio cha maumbile ni upumbavu Sana.
 
Hahaaa pole ndugu yangu, napaogopa polisi, usiombe kwenda kule,maana huyu mwanamke aliniitia polisi, ndio kwanza nimefika nyumbani saa nane, tu kila nisubili chakula sikioni kuja, nikienda jikoni naona ni maji tu tanachemka

Nadhani kudu iris mala nipo sebureni, naona vijana wa nguvu wanaingia sebureni na mke yupo yupo nyuma anawasmbia, huyo hapo, mala wananiambia ninyanyuke wao ni polisi, nawaambia tatizo nini, wanasema twende utajua huko huko,
Nilikuwa nimevaa bukta nikawaomba niingie chumbani nivae suruali, wanifuata mpaka chumbani,
Kusema kweli nikidhani jamaa ni majambazi , maana niwale wanasimamaga nyumba ya defender, tukaongozana mpaka kituoni, naomba niwanieleze kosa langu, wakagoma, mala vua mkanda, vua viatu, weka simu hapa
Haya ingia rumande huko,

Ilikuwa ni saa kumi na moja tayali, sikuona huu ni usiku au mchana, nilikesha usiku kucha mpaka asubuhi naona watu wanaketa chai, hapo hakuna ndugu yangu hata mmoja anafahamu kama nimewekwa rumande,
Sielwi ilikua ni saa ngapi nikampa Afande fulani sh 5000.
Akanipa simu yake nikampigia yule mwanamke aje anitoe maana kesho yake naingia ofisi is mapema sana,
Alinijibu neno moja tu, KAA HUKO HUKO,
Akakata simu,
Kesho yake kaja kunitoa saa tano!!!!
Aisee..we Baba una moyo Khaaa!!..naona aibu kukuonea huruma
 
Mtu asiyeweza kuamua kuridhika na mmoja; hata apewe mia hatoweza kuridhika pia. Hatuoi/kuolewa na malaika; ila pamoja na mapungufu yao bado tumeamua kuwachagua na kuridhika na hao hao

Sina Cha kuongeza

Biblia huwa naipenda sana.
Imeandika kila kitu kuhusu namna ya kuudhibiti mwili.
 
Kwa sababu story ilikuwa mwanzo sana, na story ilikuwa inahusu bi mdogo, sikutaka sana kumzungumzia yeye, nimeona hata wengine wanasema muda mwingi nilikuwa natumia kwa bi mdogo, hapana nilikuwa nabalanci sana muda wangu ili kila upande ulizike, na kuwa kazi zangu zilikuwa ni za masaa tofauti tofauti, mala usiku mala mchana, mala weekend unaenda unapumzika katikati ya wiki (shift), mala safari, mala overtim e, hayo yote yalisaidia sana kuonekana pande zote na wakawa wamezoea hiyo mienendo yangu,

Kuhusu bi mkubwa kugundua alikuja gundua baadaye sana, kwanza baada ya bi mdomo kuniwekea chupi ya mtoto kwenye bag langu, wakati nimetoka safari,
Hapo pamoja na kujitetea ndio alipoamza kuweka Q mark,

Baadaye sana sasa ikawa wazi kabisa ,
Ila alinaambia yeye hataki mtoto kwake, kama ni nyuma niwajenge e huko huko
Kwahiyo kumbe bimkubwa alijua Kama ana mwenzie !?? 🙄 Aisee
 
Ushauri wangu ni huu. Huyo mwanamke mwanzoni nilikuwa nampa heshima ya bi mdogo kama ulovyoomba tumuite (badala ya mchepuko). Ila baada ya kusoma hitimisho lako nimeona jina sahihi la kumpa huyo mwanamke ni Mchepuko. Toka nimeanza kukusoma sijaona mahali kuwa ulifunga naye ndoa huyo mchepuko. Cha kufanya hiyo nyumba mshirikishe mke wako halali (bi mkubwa). Hiyo kesi muuzie bi mkubwa ataimaliza fresh kabisa. Huyo mchepuko hastahili tena upendo wako. Hata mwenyezi Mungu hutoa adhabu kwa wanaokosea wewe ni nani usimpe adhabu huyo mwanamke? Najua kisheria kuna kauponyo kidogo anaweza kukupelekesha kwa kuwa umeishi naye kwa muda mrefu lakini nina uhakika ukikomaa anaweza asipate hata cent tano. Hiyo nyumba itakuwa yenu (wewe na mke mkubwa). Watoto wa mchepuko unaweza kuwapa kama urithi kwa baadae. Mwisho kabisa, najua unampenda sana huyo mchepuko ila kaka mkubwa umeshamla vya kutosha sana. 20 years unamkamua hana jipya tena na huna ulichobakiza kwake. Mfutilie mbali kabisa.
Ahsante sana, Mwenyezi Mungu akubariki sana, ni ushauri mzuri, kwanza niliogopa sana, kumfukuza nikijua kuwa, atasema labda nimemtumia vya kutosha sasa nimemchoka narudi kwa mke,
Lakini baada ya kugundua anaendelea na mwanaume ambaye, nilishamtuhumu miaka 10 iliyopita pamoja na visa vyote hivi na kiburi, kumbe naye ana bwana yake pembeni, hapana uzalendo umenishinda, potelea mbali , kama ataniraumu basi ni mwendelezo wa akili zake ndogo kutokujua makosa, kwa kipindi chote hicho,

Lingine nililogundua kumbe hata hizo biashara ya mchele huko Morogoro walikuwa wapo pamoja,

Ila mbaya zaidi pamoja na malalamiko yangu kwa wazazi wake, lakini hawaonyeshi hata kushtuka,

Mfano halisi ni sasa hivi, mtoto wao yupo kwao lakini hata kunipigia simu, kuniulizia kulikoni hakuna! Mpaka bajiuliza hii ni familia ya aina gani,

Mpaka nawaeleza waziwazi kabisa mbona mtoto wenu anatembea na aliyewahi kuwa mkwenu ( huyo bwana alishawahi kuoa binamu ya mke mdogo) wakagombana baada ya kufumaniana,

Na jamaa akataka kumuua mgoni wake kisu,
Akatoroka kijiji kwa muda fulani.
Lakini mpaka nafikia hatua ya kuwaambia wazi wazi, kuwa mlikuwa mnanidanganya kumbe mnajua mtoto wenu ana wanaume wawili halafu mkiendelea kuniomba vimisaada, na kuwakatia simu ambapo leo ni wiki ya tatu hawanipigia tena!
 
Ahsante sana, Mwenyezi Mungu akubariki sana, ni ushauri mzuri, kwanza niliogopa sana, kumfukuza nikijua kuwa, atasema labda nimemtumia vya kutosha sasa nimemchoka narudi kwa mke,
Lakini baada ya kugundua anaendelea na mwanaume ambaye, nilishamtuhumu miaka 10 iliyopita pamoja na visa vyote hivi na kiburi, kumbe naye ana bwana yake pembeni, hapana uzalendo umenishinda, potelea mbali , kama ataniraumu basi ni mwendelezo wa akili zake ndogo kutokujua makosa, kwa kipindi chote hicho,

Lingine nililogundua kumbe hata hizo biashara ya mchele huko Morogoro walikuwa wapo pamoja,

Ila mbaya zaidi pamoja na malalamiko yangu kwa wazazi wake, lakini hawaonyeshi hata kushtuka,

Mfano halisi ni sasa hivi, mtoto wao yupo kwao lakini hata kunipigia simu, kuniulizia kulikoni hakuna! Mpaka bajiuliza hii ni familia ya aina gani,

Mpaka nawaeleza waziwazi kabisa mbona mtoto wenu anatembea na aliyewahi kuwa mkwenu ( huyo bwana alishawahi kuoa binamu ya mke mdogo) wakagombana baada ya kufumaniana,

Na jamaa akataka kumuua mgoni wake kisu,
Akatoroka kijiji kwa muda fulani.
Lakini mpaka nafikia hatua ya kuwaambia wazi wazi, kuwa mlikuwa mnanidanganya kumbe mnajua mtoto wenu ana wanaume wawili halafu mkiendelea kuniomba vimisaada, na kuwakatia simu ambapo leo ni wiki ya tatu hawanipigia tena!
Father achana na huyo mwanamke..achana na hiyo familia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom