Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Ikiwa hii story ni ya kweli (Kwasababu hatuna ushahidi na inaweza kuwa ya kutungwa kama zingine tu) basi:

Mimi nimekusoma vizuri ila nilichojifunza na ambacho huwa kipo wazi ni kuwa Mungu akikupa Mke mwema (Mke wa ujana wako) kisha ukamess up lazima uonje joto la jiwe

Umekosea kumuoa kabisa na kumpatia mitaji huyo Mke mdogo badala mpangilie pesa na kufanya maendeleo na Mke wako mkubwa wa halali.

Wewe sio wa kwanza, vijana tujifunze.

Pole Mzee.
 
Wewe ndio muongo, jamaa ni mkweli kabisa sema amependa/ ameikubali maku ya huyo demu/ mchepukoo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Tumeyapitia kiukweli, lakini haipo hivyo mamito. Bi mkubwa atapenyezewa umbeya hata akiwa anaishi London. Mtoto wa Bi mdogo awe shule jirani na awe anaenda kwao kijijini na siri isimfikie ni mkubwa, thubutu. Unless kuwe uchaggani hao huwa wanaweza kutunza siri. Yeye apate umbeya wa bi mdogo Lakini bi mkubwa upo katika cage peke yake, thubutu. Yeye anadai anao 2 nje ya ndoa wengine tuna 4 kwa taarifa yako.

Aidha ufume meseji ya mtu anayefakamia k yako ya mchepuko na akujibu ovyo usisepe!!!!! Hakuna hilo. Niishie hapo
 
Kama nitapata muda kesho nitakujibu kwa kina

Kwa sasa hivi tu; maisha ya ndoa is not all about sex, maana it's as if mke ni chombo tu cha kumstarehesha mwanaume kitandani so lazima tuhakikishe kila siku mwanaume ana wa kumstarehesha bila hivyo atakufa. Halafu kuna muda majukumu yanakuwa mengi na hata hiyo sex hatufanyi daily. Huyo mume wa kushindwa kukuvumilia ubleed siku 3-4 kwa kweli aombewe tu apate na vitu vya msingi vya kumkeep busy mfukuze na umaskini. Kwenye maisha unajifunza tu kuridhika na hali yako/mtu wako. Kama ambavyo ukiwa huna hela unakunywa maji unalala huendi kuiba, kumbe unaweza ukaridhika na papuchi ya mkeo na ukamuacha tu ableed kwa amani bila kwenda kuoa mke mwingine. Sijawahi kusikia mume kafa kwa kukosa sex

Siku zote moyo u radhi lakini mwili ni dhaifu, ndiyo maana tunafundishwa kuitiisha miili (kuunyima mwili vitu vinavyovipenda). Mtu yoyote mwenye akili timamu lazima atajua kuucontrol mwili wake. Tatizo tunaiendekeza miili na ngono tangu tukiwa vijana, tukifika ndoani mwendo ni ule ule. Afu kwani sisi wanawake tukiolewa tu tamaa zetu zinakufa? Mbona tunakuwa waaminifu kwa wenzi wetu? Uaminifu ni chaguo, ni maamuzi period. Usipoamua, hata uoe wanawake nane na hakuna anayeumwa wala kubleed; bado utaenda kutamani na kulala na mwanamke mwingine nje.

N:B Mimi ni mke wa mume mmoja na ndiyo mke wake wa pekee hadi kifo kitutenganishe, na namshukuru Mungu tunaenjoy ndoa yetu. Na mapungufu yake yote; kwa kweli sipo radhi kumwachia mwingine ninamtaka tu awe wangu hadi kurudi kwa Kristo. Wazazi wangu wameishi ndoa ya mke na mume mmoja hadi kifo kimewatenganisha; nitafanya hivyo pia.

Mimi na mume wangu tumeunganishwa na Mungu kupitia agano la ndoa; hivyo mimi na yeye ni mwili mmoja, ni kifo tu ndiyo kinaruhusiwa kututenganisha sio mwanadamu. Vipo vya kuwapa watu na sio mume wangu, kwa sababu mimi na yeye tuna Agano, akija mwanamke mwingine automatically agano letu limekufa, ndoa kushney.
acha bana...!
 
Hahaaa pole ndugu yangu, napaogopa polisi, usiombe kwenda kule,maana huyu mwanamke aliniitia polisi, ndio kwanza nimefika nyumbani saa nane, tu kila nisubili chakula sikioni kuja, nikienda jikoni naona ni maji tu tanachemka

Nadhani kudu iris mala nipo sebureni, naona vijana wa nguvu wanaingia sebureni na mke yupo yupo nyuma anawasmbia, huyo hapo, mala wananiambia ninyanyuke wao ni polisi, nawaambia tatizo nini, wanasema twende utajua huko huko,
Nilikuwa nimevaa bukta nikawaomba niingie chumbani nivae suruali, wanifuata mpaka chumbani,
Kusema kweli nikidhani jamaa ni majambazi , maana niwale wanasimamaga nyumba ya defender, tukaongozana mpaka kituoni, naomba niwanieleze kosa langu, wakagoma, mala vua mkanda, vua viatu, weka simu hapa
Haya ingia rumande huko,

Ilikuwa ni saa kumi na moja tayali, sikuona huu ni usiku au mchana, nilikesha usiku kucha mpaka asubuhi naona watu wanaketa chai, hapo hakuna ndugu yangu hata mmoja anafahamu kama nimewekwa rumande,
Sielwi ilikua ni saa ngapi nikampa Afande fulani sh 5000.
Akanipa simu yake nikampigia yule mwanamke aje anitoe maana kesho yake naingia ofisi is mapema sana,
Alinijibu neno moja tu, KAA HUKO HUKO,
Akakata simu,
Kesho yake kaja kunitoa saa tano!!!!
Pole sana kiongozi
 
Huyu mwanamke simtaki tena, lakini naona kama anawapambe,

Nipeni ushauri wapendwa,
Maana ninachokiona siku moja huyu mwanamke anaweza rudimentary hapa kwa gia ya watoto
Nimesoma mwanzo mpaka mwisho.
Katika maisha kila mwanadamu ana mapungufu yake, japo Kuna waokudhihaki lakini amini Kuna mahali waliterereka kwa Mara moja au zaidi ya Mara moja.

Kikubwa elewa huyo ni mchepuko kwahyo hataka Kama umekaa naye zaidi ya miaka kadhaa bado hajawa na uhalali wa kuwa mke. Japo wewe ni upande wa pili hata dini Uislamu umeruhusu zaidi ya mke mmoja ila wanawake wote uliokuwa nao Wajue kwamba hawako peke yao. Kwa hapa ulifanya kosa la ufundi mchepuko kuupa hadhi ya mke.

Ila Unapokosea na ukijua kosa lako jua ndio mwanzo wa Tiba ya ugonjwa wako.

Nachokushauri usiuze nyumba, nyumba waachie watoto ndio urithi wao. Wewe toka hapo ikibidi pangisha. Usipomuachia hiyo nyumba atakusumbua mpaka ahakikishe umebaki maiti.

Pili mwambie mkeo ukweli una watoto wakubwa .pengine anafahamu kila kitu na kwakuwa hujamuonyesha kumdharau kwa namna yoyote na unayatambua majukumu yako. Ila kakupa mtego, anasubiri siku na saa ya mtego kuteguka, kwahiyo usisubiri mtego uteguke wenyewe, tegua sintofahamu hiyo wewe mwenyewe muombe msamaha mkeo.

La mwisho mandhari watoto ni wakubwa tafuta namna ya kuwasiliana na watoto wako Kama ni mahitaji muhimu watumie wao moja kwa moja siku hizi Kuna maendeleo hasa kwenye huduma za kifedha tafuta njia Bora ya kuwahudumia watoto wako. Huyo mama piga block kote wewe bakisha uhusiano na damu yako tu.

Mwisho huyo mwanamke usijaribu kumrudisha Tena kwenye maisha yako akirudi atakuvuruga kuliko Mara ya kwanza. Kwa Sasa anajua unakaribia kustaff tegemea ujio wake muda wowote.

Nakutakia kila lakheri kwenye kufanya maamuzi yako.
 
Nimesoma mwanzo mpaka mwisho.
Katika maisha kila mwanadamu ana mapungufu yake, japo Kuna waokudhihaki lakini amini Kuna mahali waliterereka kwa Mara moja au zaidi ya Mara moja.

Kikubwa elewa huyo ni mchepuko kwahyo hataka Kama umekaa naye zaidi ya miaka kadhaa bado hajawa na uhalali wa kuwa mke. Japo wewe ni upande wa pili hata dini Uislamu umeruhusu zaidi ya mke mmoja ila wanawake wote uliokuwa nao Wajue kwamba hawako peke yao. Kwa hapa ulifanya kosa la ufundi mchepuko kuupa hadhi ya mke.

Ila Unapokosea na ukijua kosa lako jua ndio mwanzo wa Tiba ya ugonjwa wako.

Nachokushauri usiuze nyumba, nyumba waachie watoto ndio urithi wao. Wewe toka hapo ikibidi pangisha. Usipomuachia hiyo nyumba atakusumbua mpaka ahakikishe umebaki maiti.

Pili mwambie mkeo ukweli una watoto wakubwa .pengine anafahamu kila kitu na kwakuwa hujamuonyesha kumdharau kwa namna yoyote na unayatambua majukumu yako. Ila kakupa mtego, anasubiri siku na saa ya mtego kuteguka, kwahiyo usisubiri mtego uteguke wenyewe, tegua sintofahamu hiyo wewe mwenyewe muombe msamaha mkeo.

La mwisho mandhari watoto ni wakubwa tafuta namna ya kuwasiliana na watoto wako Kama ni mahitaji muhimu watumie wao moja kwa moja siku hizi Kuna maendeleo hasa kwenye huduma za kifedha tafuta njia Bora ya kuwahudumia watoto wako. Huyo mama piga block kote wewe bakisha uhusiano na damu yako tu.

Mwisho huyo mwanamke usijaribu kumrudisha Tena kwenye maisha yako akirudi atakuvuruga kuliko Mara ya kwanza. Kwa Sasa anajua unakaribia kustaff tegemea ujio wake muda wowote.

Nakutakia kila lakheri kwenye kufanya maamuzi yako.

Ushauri wako ni mzuri ila kipengele cha kumwachia nyumba hapana. Huyo mwanamke atakuja leta wanaume hapo nyumbani,wakimchoka huyo mama watawalala hata hao mabinti. Na huko mbeleni atakuja kuuza kabisa hiyo nyumba kwani anaonekana hana hata misimamo ya kibiashara. Jamaa anaonekana ni mtu anathamini familia,auze hiyo nyumba hawezi kosa jinsi ya kufanya na hiyo pesa kusapoti hao mabinti kielimu na kimalezi.
 
Nimesoma mwanzo mpaka mwisho.
Katika maisha kila mwanadamu ana mapungufu yake, japo Kuna waokudhihaki lakini amini Kuna mahali waliterereka kwa Mara moja au zaidi ya Mara moja.

Kikubwa elewa huyo ni mchepuko kwahyo hataka Kama umekaa naye zaidi ya miaka kadhaa bado hajawa na uhalali wa kuwa mke. Japo wewe ni upande wa pili hata dini Uislamu umeruhusu zaidi ya mke mmoja ila wanawake wote uliokuwa nao Wajue kwamba hawako peke yao. Kwa hapa ulifanya kosa la ufundi mchepuko kuupa hadhi ya mke.

Ila Unapokosea na ukijua kosa lako jua ndio mwanzo wa Tiba ya ugonjwa wako.

Nachokushauri usiuze nyumba, nyumba waachie watoto ndio urithi wao. Wewe toka hapo ikibidi pangisha. Usipomuachia hiyo nyumba atakusumbua mpaka ahakikishe umebaki maiti.

Pili mwambie mkeo ukweli una watoto wakubwa .pengine anafahamu kila kitu na kwakuwa hujamuonyesha kumdharau kwa namna yoyote na unayatambua majukumu yako. Ila kakupa mtego, anasubiri siku na saa ya mtego kuteguka, kwahiyo usisubiri mtego uteguke wenyewe, tegua sintofahamu hiyo wewe mwenyewe muombe msamaha mkeo.

La mwisho mandhari watoto ni wakubwa tafuta namna ya kuwasiliana na watoto wako Kama ni mahitaji muhimu watumie wao moja kwa moja siku hizi Kuna maendeleo hasa kwenye huduma za kifedha tafuta njia Bora ya kuwahudumia watoto wako. Huyo mama piga block kote wewe bakisha uhusiano na damu yako tu.

Mwisho huyo mwanamke usijaribu kumrudisha Tena kwenye maisha yako akirudi atakuvuruga kuliko Mara ya kwanza. Kwa Sasa anajua unakaribia kustaff tegemea ujio wake muda wowote.

Nakutakia kila lakheri kwenye kufanya maamuzi yako.

Ushauri wako ni mzuri ila kipengele cha kumwachia nyumba hapana. Huyo mwanamke atakuja leta wanaume hapo nyumbani,wakimchoka huyo mama watawalala hata hao mabinti. Na huko mbeleni atakuja kuuza kabisa hiyo nyumba kwani anaonekana hana hata misimamo ya kibiashara. Jamaa anaonekana ni mtu anathamini familia,auze hiyo nyumba hawezi kosa jinsi ya kufanya na hiyo pesa kusapoti hao mabinti kielimu na kimalezi.
 
Nimevumilia kutocomment ila nimeshindwa kwa hii comment yako. Wewe una uzoefu hakika. Hakuna mwanamke anayerisk maisha yake asilani. Mwanamke yeyote anaishi na mwanaume kama anajua kuna faida iwe leo au kesho (future). Mawanamke projector (projection) mzuri ingawa anaweza kuwa estimator (estimates) mbaya.

Kwa kutambua wanawake walivyo, nilikataa kuoa binti nikaoa aliyemuita bibi kizee kwa vile tulipishana miaka 20.
Unamaanisha mkeo kakuzidi miaka 20?
 
Kwa sababu story ilikuwa mwanzo sana, na story ilikuwa inahusu bi mdogo, sikutaka sana kumzungumzia yeye, nimeona hata wengine wanasema muda mwingi nilikuwa natumia kwa bi mdogo, hapana nilikuwa nabalanci sana muda wangu ili kila upande ulizike, na kuwa kazi zangu zilikuwa ni za masaa tofauti tofauti, mala usiku mala mchana, mala weekend unaenda unapumzika katikati ya wiki (shift), mala safari, mala overtim e, hayo yote yalisaidia sana kuonekana pande zote na wakawa wamezoea hiyo mienendo yangu,

Kuhusu bi mkubwa kugundua alikuja gundua baadaye sana, kwanza baada ya bi mdomo kuniwekea chupi ya mtoto kwenye bag langu, wakati nimetoka safari,
Hapo pamoja na kujitetea ndio alipoamza kuweka Q mark,

Baadaye sana sasa ikawa wazi kabisa ,
Ila alinaambia yeye hataki mtoto kwake, kama ni nyuma niwajenge e huko huko
kama mkeo halali kishajua huna budi kurudi kwa mkeo mgange maisha yenu, hiyo nyumba hata ukisema utaua mtu jiulize utaishi milele?? kuna watu wamejenga mabangalow ya maana na ilibaki wahamie tu wakafa wakayaacha sembuse hiko kijumba cha kujisitiri wanao??


wewe ona hiyo ni stara kwa watoto wako na watoto wwngetambuana tu mana kuna leo na kesho wasijekutana barabarani wakatongozana au kupeana mimba ukaja kufa kwa moyo kushindwa kusukuma damu bure

achana na huyo bi mdogo achana naye achana naye tafta namna ya kumrudisha mkeo kwenye mood mana kosa ushalifanya mweleze umekubali umekosea na utakacho ni kuanza upya na kamwe huyo mke mdogo usimpe nafas wala usiifikirie hio nyumba mwambie tu ndio urithi wa watoto wako na ikitokea watoto wana shida na ww bas watoto wawasiliane direct na wewe na sio mama yao
 
Ushauri wako ni mzuri ila kipengele cha kumwachia nyumba hapana. Huyo mwanamke atakuja leta wanaume hapo nyumbani,wakimchoka huyo mama watawalala hata hao mabinti. Na huko mbeleni atakuja kuuza kabisa hiyo nyumba kwani anaonekana hana hata misimamo ya kibiashara. Jamaa anaonekana ni mtu anathamini familia,auze hiyo nyumba hawezi kosa jinsi ya kufanya na hiyo pesa kusapoti hao mabinti kielimu na kimalezi.
mabinti washakua wanajielewa huyo baba afukuze huyo mwanamke yan akafanye upuuzi mbele sio kwenye nyumba yake yan amtimue na asisogee hapo wabakie watoto tu
 
Kwaupande wangu naona UMEROGWA ndomana imekua rahisi kufanya yote haya kwa mchepuko regardless uchafu wake wote ulioambiwa/onyeshwa nadhani ni wakati muafaka wakumrudia Mungu wako na uache kusumbukia ya duniani maana hutayamaliza zaidi ya kukumaliza,rudi kwa mkeo,msaada wa muhimu kwa watoto wako usikome

Kingsmann
 
Sijafikiria kuwa single mother mkuu, na hata nikiamua kuzaa sijali maneno ya wajinga sio single mother Mimi ka mwanamke nilipewa kei nizae hzo single mother mnazosema huwa ni maneno ya wanaume machoko wa JF. How can you insult someone coz of giving birth, hilo sio tusi na hata kuwa mchepuko sio dhambi ka nyie mnachepuka hamna akili mnalia Lia humu baada ya kupigwa matukio na mnazeeka wenyewe ka wachawi

, dah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom