jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
Hello wadau wa JF..!
Bila kutarajia kama inawezekana leo nimepigiwa simu toka secretarieti ya ajira kuwa nimeitwa kwenye usaili wiki ijayoi. Kwa mwenye uzoefu na jamaa hawa au usaili kwa ujumla naomba ushauri ili nipate mwongozo wa kujiandaa kukabiliana nao.
Nawashukuru wote kwa ushirikiano na msaada wenu.
Bila kutarajia kama inawezekana leo nimepigiwa simu toka secretarieti ya ajira kuwa nimeitwa kwenye usaili wiki ijayoi. Kwa mwenye uzoefu na jamaa hawa au usaili kwa ujumla naomba ushauri ili nipate mwongozo wa kujiandaa kukabiliana nao.
Nawashukuru wote kwa ushirikiano na msaada wenu.