Naomba ushauri, nimeamua kufanya kilimo kama ajira

Mkuu umenitoa ktk usingizi aisee ata mm natamani nikapambane ktk kilimo ila bado sijapata chanel nzuri vipi tunaweza kuungana ktk harakati izoo
 
Nmependa uchanganuzi wako japo shamba lina maajabu sana
Hongera sana mkuu kwa kuthubutu
Kuhusu kilimo cha mahalage kwa mwezi wa pili naona utakuwa sawa maana mahalage ayaitaji joto la chini kwaiyo unaweza kupata mavuno mengi ata ivyo utakuwa na miezi miwili na nusu iv ya mvua Yan 2-4½ itakuwa kitu kizuli sana maana kipindi mahalage yanotoa mauwa inabid mvua isiwepo ili kiluhusu uchavushaji, Kama ukizingatia vizuli kanuni za kilomo yan uwekaji wa mbolea na kupalilia unaweza vuna mazao mengi... Lkn pia sijua Kama utauza kwa plastic au kilo au utatumia madalali



Kwenye upande wa mahindi kwa sababu n ya kuchoma huwa yana chukua miezi 4-5 iv itategemeana na aina ya mbegu yako, tufanye takwimu kidogo
Arce moja ni sawa 70m × 70m =4900m²
Mstali adi mstali 75cm
Mche adi mche 25cm
Jumla ya mimea 26133
Tufanye Kama mimea 133 imekufa kutokana na athali za mazingila kwaiyo itabaki mimea 26000
Kuhusu soko sijajua Kama utauza wakati ipo shamaban maana utamuuzia dalali tufanye takwimu kidogo
Muhindi moja 100 Tsh
Jumla ya mahindi 26000
Mkusanyo wa pesa 2,600,000

Kama utamuuzi mchoma mahindi moja kwa moja tufanye ( yani inabid uvune alafu utafute kituo cha kuhuzia yan ww ndo unakuwa Kama muuzaji mkuu)
Muhindi mmoja 150 Tsh
Jumla ya mahindi 26000
Muhindi mmoja 150
Mkusanyo ya pesa 3,900,000 Tsh



Lkn kama tatafuta sehemu ya kuuzia Yan utauza moja kwa moja kwa mchoma mahindi itakuwa ni vizuli maana yale majan ya nayo funika muhindi uwa yana punguzwa ili kulahisisha usafilishaji kwaiyo unaweza kuyakusanya na kuyauza kwa wafungaji wa Ng'ombe na Mbuzi ivyo basi ukapata faida zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilimo ni kizuri japo wengi wanaogopa, kama umeamua kuifanya ajira ya kudumu umechagua jambo jema !!
Muhimu uwepo mwenyewe kwenye Field. Sio kuagiza
Changamoto zipo kwa kila kazi ! Na vizuri kuanza kidogo kidogo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Us
Hongera sana mkuu kwa kuthubutu
Kuhusu kilimo cha mahalage kwa mwezi wa pili naona utakuwa sawa maana mahalage ayaitaji joto la chini kwaiyo unaweza kupata mavuno mengi ata ivyo utakuwa na miezi miwili na nusu iv ya mvua Yan 2-4½ itakuwa kitu kizuli sana maana kipindi mahalage yanotoa mauwa inabid mvua isiwepo ili kiluhusu uchavushaji, Kama ukizingatia vizuli kanuni za kilomo yan uwekaji wa mbolea na kupalilia unaweza vuna mazao mengi... Lkn pia sijua Kama utauza kwa plastic au kilo au utatumia madalali



Kwenye upande wa mahindi kwa sababu n ya kuchoma huwa yana chukua miezi 4-5 iv itategemeana na aina ya mbegu yako, tufanye takwimu kidogo
Arce moja ni sawa 70m × 70m =4900m²
Mstali adi mstali 75cm
Mche adi mche 25cm
Jumla ya mimea 26133
Tufanye Kama mimea 133 imekufa kutokana na athali za mazingila kwaiyo itabaki mimea 26000
Kuhusu soko sijajua Kama utauza wakati ipo shamaban maana utamuuzia dalali tufanye takwimu kidogo
Muhindi moja 100 Tsh
Jumla ya mahindi 26000
Mkusanyo wa pesa 2,600,000

Kama utamuuzi mchoma mahindi moja kwa moja tufanye ( yani inabid uvune alafu utafute kituo cha kuhuzia yan ww ndo unakuwa Kama muuzaji mkuu)
Muhindi mmoja 150 Tsh
Jumla ya mahindi 26000
Muhindi mmoja 150
Mkusanyo ya pesa 3,900,000 Tsh



Lkn kama tatafuta sehemu ya kuuzia Yan utauza moja kwa moja kwa mchoma mahindi itakuwa ni vizuli maana yale majan ya nayo funika muhindi uwa yana punguzwa ili kulahisisha usafilishaji kwaiyo unaweza kuyakusanya na kuyauza kwa wafungaji wa Ng'ombe na Mbuzi ivyo basi ukapata faida zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Unalima mkoa gani??
 
Ushauri wangu kama upo nyanda za juu kusini Iringa in particular usiache kulima mahindi ya kuchoma ali maarufu Gobo, haya hayana hasara kabisa yatakusaidia kukupa fedha za uendeshaji kwenye mazao yenye risk kubw Kama nyanya na vitunguu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Idea Pia Inatufaa Sana Wafanyakazi Wa Serikalini Tunaoishi Vijijini, Maisha Yanakuwa Rahisi Kabisa! Wazo Mujaraab Kabisa.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom