I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 389
- 576
Habari.
Naomba ushauri aise katika hili. Nataka kuanzisha biashara yangu binafsi ya genge mix duka. Mpk dk hii tyr 90% nimeshafanya nimekod fremu meza shelf tyr nimetengeneza na rangi safi nyeupe nimepiga. Ila nakabiliwa na mgogoro wa baina ya mawazo yangu na mawazo ya wazazi wangu.
Wazazi wananiambia nisiache kazi. Me mawazo yangu nataka kuacha kazi. Maana kipato nachoingiza ni kidg mno ukilinganisha na mtaji ambao naotaka kuuweka kwenye duka langu.
Nataka kuacha kazi kwakuwa nataka nilinde mtaji wangu ninaotaka kuuweka dukani na kwenye gengelangu. Maana nimesota sana mpk kupata mtaji huo.
Wananishauri niweke kijana lakn akili yangu na fikra zangu zinaniambia nisimamie kazi yangu. Yan napata roho ya ujasiri inayoniambia simamia kazi yako. Rizk sio mpka ajira. Hta ukijiajiri mwenyewe pia utapata mafanikio makubwa kuliko kusubiri laki 3 ya muhindi
Naomba ushauri aise katika hili. Nataka kuanzisha biashara yangu binafsi ya genge mix duka. Mpk dk hii tyr 90% nimeshafanya nimekod fremu meza shelf tyr nimetengeneza na rangi safi nyeupe nimepiga. Ila nakabiliwa na mgogoro wa baina ya mawazo yangu na mawazo ya wazazi wangu.
Wazazi wananiambia nisiache kazi. Me mawazo yangu nataka kuacha kazi. Maana kipato nachoingiza ni kidg mno ukilinganisha na mtaji ambao naotaka kuuweka kwenye duka langu.
Nataka kuacha kazi kwakuwa nataka nilinde mtaji wangu ninaotaka kuuweka dukani na kwenye gengelangu. Maana nimesota sana mpk kupata mtaji huo.
Wananishauri niweke kijana lakn akili yangu na fikra zangu zinaniambia nisimamie kazi yangu. Yan napata roho ya ujasiri inayoniambia simamia kazi yako. Rizk sio mpka ajira. Hta ukijiajiri mwenyewe pia utapata mafanikio makubwa kuliko kusubiri laki 3 ya muhindi