denis fourplux
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 1,049
- 1,378
Kwa muda nimekua naona nyumban wakitumia dstv but baadae wakaongeza Azam kiukweli azam kaleta mapinduzi makubwa sana kwa sasa ntakwambia nenda Azam kwanza wameshusha bei, pili wanachannel zile za ndani kama ITV, EATV unazipata bure ata kifurushi kikikata ila DSTV sahau.
DSTV wana gharama sana na wengi kule wanafata channel za mpira na baadhi ya channel kama CBS reality ( kwangu mimi napenda kipindi cha border patrol pamoja na Hardcore pawn uku nkiangalia na kipindi cha American chopper izo ndio channel zinazonivutia DSTV mbali na zile za movie ila now naanza penda sana AZAM coz wana channel nzuri sana nyingi kwa bei chee
DSTV wana gharama sana na wengi kule wanafata channel za mpira na baadhi ya channel kama CBS reality ( kwangu mimi napenda kipindi cha border patrol pamoja na Hardcore pawn uku nkiangalia na kipindi cha American chopper izo ndio channel zinazonivutia DSTV mbali na zile za movie ila now naanza penda sana AZAM coz wana channel nzuri sana nyingi kwa bei chee