Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 452
- 792
Wakabwa poleni na majukumu,
Mimi mdogo wenu nimechaguliwa kozi ya Botanical Science UDSM na mkopo nimepata asilimia zote lakini pia kuna chuo nimepata diploma ya medical labaratory, kulingana na uzoefu wenu wakubwa wa kupima uzito wa hizo kozi mbili je niende wapi?
Mimi ndoto zangu zlikua kua daktari na bahati mbaya nimekosa vyuo vyote degree (private na government) na matokeo yangu yalikua div2 pt ya 10 .
Nisaidieni jamani kwa ushauri🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mimi mdogo wenu nimechaguliwa kozi ya Botanical Science UDSM na mkopo nimepata asilimia zote lakini pia kuna chuo nimepata diploma ya medical labaratory, kulingana na uzoefu wenu wakubwa wa kupima uzito wa hizo kozi mbili je niende wapi?
Mimi ndoto zangu zlikua kua daktari na bahati mbaya nimekosa vyuo vyote degree (private na government) na matokeo yangu yalikua div2 pt ya 10 .
Nisaidieni jamani kwa ushauri🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏