HAFIDH FADHIL
Member
- Jan 20, 2020
- 9
- 5
Habari zenu wana JF.
Nilikuwa naomba ushauri/msaada. Kama kuna yeyote anaefahamu taasisi au sehemu wanayotoa ufadhili wa masomo kwa ngazi ya diploma kwa wale wasioweza kumudu ada.
Mimi ni kijana nimeomba chuo diploma ya afya lakini nimeshindwa kuendelea sababu ya ada.
Nilikuwa naomba ushauri/msaada. Kama kuna yeyote anaefahamu taasisi au sehemu wanayotoa ufadhili wa masomo kwa ngazi ya diploma kwa wale wasioweza kumudu ada.
Mimi ni kijana nimeomba chuo diploma ya afya lakini nimeshindwa kuendelea sababu ya ada.