Naomba ushauri: Ni exposure ipi ya HIV ni hatari kwangu?

kaka km

JF-Expert Member
Nov 16, 2013
1,336
681
Wataalam naomba ushauri wa kitaalam.

Nimekutana na mwanamke ila hatukupima UKIMWI, tukafanya mapenzi bila kinga.

Baada ya wiki 5, siku kama 36 tukakutana tena na tukafanya mapenzi bila kinga lakini baada ya kufanya mapenzi tukapima ukimwi(naomba kukiri kua huu ni ujinga nilifanya). Baada ya vipimo majibu yakaja negative kwangu na positive kwake.

Baada ya hayo majibu tukaenda hospitali,wakarudia vipimo mara 2, kwa bioline na Unigold, majibuhayakua na tofauti na tulivyopima sisi.

Baada ya hapo nikaanzishiwa PEP ambayo ndio naendelea kutumia.

Je, risk kubwa kwangu hapo iko kwenye exposure ya kwanza ama hii ya pili ambayo natumia PEP.

Je HIV inaweza kua imejitokeza kwenye mwili kama umeambukizwa kwa siku 35 hizo?

Mimi binafsi niko worried na exposure ya kwanza.

Naomba wataalam mniambie kitaalam hapo kipi ni kipi.

Ahsanteni sana.

Update tarehe 12 June 2021

Leo ni siku ya 60 ama wiki ya 8 toka ile exposure ya kwanza na siku ya 25 ya exposure ya pili ambayo ndio natumia PEP. Nimeenda hospitali wamenipima bado majibu yanaonyesha niko salama.

Bado naendelea kuomba majibu yawe hivi hivi hata siku 90 zikifika.
 
Nilishauzaga mechi kipumbavu miaka 7 iliyopita tena kwenye njia ya hatari sana,,
Mpaka leo naikumbuka ile siku,
sjawai pima hiv miaka yote hiyo toka kipind kile ,ila toka ile siku sijawai uza mechi tena,
Kila nikikumbuka ile siku nakosa amani.
But life goes on and am good.
 
Swali, Je, huyo mwenzako yuko alikuwa kwenye dawa kabla ya nyinyi kupigana miti?
Kama jibu ni ndio, basi ondoa shaka, kama jibu ni hapana, uko kwenye hatari kubwa kwa mujibu wa wataalamu wanavyosema.

Hivi PEP ndio nini?
Wengine hapa ni washamba.
 
prep hufanya kazi kabla ya masaa 72...subiri miezi mi3 ifike ukapime tena. Na prep huwa inatmika kwa emergency na mara nyingi hutumika na wahudumu wa afya ambapo wakiona kuna ajali imepatkana either kuchomwa na sindano wakat wa kumshona mtu au vinginevyo. Haiwez fanya kazi baada ya masaa 72. Subiri muda ufike.

Kuwa na amani huenda majib yakawa mazuri kama hujasimamia ukucha lakini.

All in all condom ni muhim au baki njia kuu. UKIMWI unaua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali, Je, huyo mwenzako yuko alikuwa kwenye dawa kabla ya nyinyi kupigana miti?
Kama jibu ni ndio, basi ondoa shaka, kama jibu ni hapana, uko kwenye hatari kubwa kwa mujibu wa wataalamu wanavyosema.

Hivi PEP ndio nini?
Wengine hapa ni washamba.
PEP ni sawa na ARVs
 
Swali, Je, huyo mwenzako yuko alikuwa kwenye dawa kabla ya nyinyi kupigana miti?
Kama jibu ni ndio, basi ondoa shaka, kama jibu ni hapana, uko kwenye hatari kubwa kwa mujibu wa wataalamu wanavyosema.

Hivi PEP ndio nini?
Wengine hapa ni washamba.

PEP = Post-exposure prophylaxis

Post-exposure prophylaxis, also known as post-exposure prevention, is a medical treatment started after exposure to a pathogen in order to prevent the infection from occurring. Ukipita mazingira hatarishi unapewa hiyo within 72hrs kuokoa na maambuziki.

Hii INA TOFAUTI kidogo na ARVs ingawa ina baadhi ya side effects zinafanana.

Cc Joanah
 
Siku 36 kabla ulifanya unprotected sex na siku 36 baada ukafanya unprotected sex.
Virusi vya UKIMWI vinaweza kugunduliwa vyema kati ya wiki 4 hadi wiki 12 kutokana na uwezo wa kinga ya mwili wa mhusika.
Ni mara chache sana kipimo kusoma positive katika hizo wiki nne, wengi huonesha baada ya wiki 10. Hivyo kwa kesi yako kuna uwezekano mkubwa mpenzi wako alikuwa na maambukizi hata mliposex kwa mara ya kwanza pia uwezekano ni mdogo kuwa alipata maambukizi baada ya kusex nae mara ya kwanza japo uwezekano huo upo kuwa alipata baada ya kusex nawe kwa mara ya kwanza...

USHAURI
Endelea kutumia hizo PEP hadi umalize dozi.... Usijihusishe kabisa na swala la mapenz kwa kipindi hiki
Ukishamaliza dozi nenda kapime kama utakuwa salama rudia baada ya miez miwili
Pole sana mkuu... Pia jitahidi kufanya maombi kwa bidii hakuna kinachoshindikana kwa Mungu
 
Siku 36 kabla ulifanya unprotected sex na siku 36 baada ukafanya unprotected sex.
Virusi vya UKIMWI vinaweza kugunduliwa vyema kati ya wiki 4 hadi wiki 12 kutokana na uwezo wa kinga ya mwili wa mhusika.
Ni mara chache sana kipimo kusoma positive katika hizo wiki nne, wengi huonesha baada ya wiki 10. Hivyo kwa kesi yako kuna uwezekano mkubwa mpenzi wako alikuwa na maambukizi hata mliposex kwa mara ya kwanza pia uwezekano ni mdogo kuwa alipata maambukizi baada ya kusex nae mara ya kwanza japo uwezekano huo upo kuwa alipata baada ya kusex nawe kwa mara ya kwanza...

USHAURI
Endelea kutumia hizo PEP hadi umalize dozi.... Usijihusishe kabisa na swala la mapenz kwa kipindi hiki
Ukishamaliza dozi nenda kapime kama utakuwa salama rudia baada ya miez miwili
Pole sana mkuu... Pia jitahidi kufanya maombi kwa bidii hakuna kinachoshindikana kwa Mungu
Mkuu, nimeambiwa vipimo vya maabara vinaweza kutoa majibu sahihi hata ndani ya siku 14, je ni kweli?

Baada ya PEP nitakua na siku 60 za ile unprotected sex ya kwanza, je natamiwa nipime kwa kipimo gani? Hizi rapid ama niende hospitali wakapime kwa vile vya maabara?

Jambo lingine, naruhusiwa kupima ndani ya PEP? Na je ukiwa kwenye PEP huruhusiwi kufanya mapenzi hata na condom?
 
Mkuu, nimeambiwa vipimo vya maabara vinaweza kutoa majibu sahihi hata ndani ya siku 14, je ni kweli?

Baada ya PEP nitakua na siku 60 za ile unprotected sex ya kwanza, je natamiwa nipime kwa kipimo gani? Hizi rapid ama niende hospitali wakapime kwa vile vya maabara?

Jambo lingine, naruhusiwa kupima ndani ya PEP? Na je ukiwa kwenye PEP huruhusiwi kufanya mapenzi hata na condom?
Upo kwenye sintofahamu alafu bado unataka kungonoka.
 
Watu mna hatar....duh
Kwa utamu gaani wa papuch ni risk maisha kias hiko

Bro we si mtu wa mchezo mchezo
 
prep hufanya kazi kabla ya masaa 72...subiri miezi mi3 ifike ukapime tena. Na prep huwa inatmika kwa emergency na mara nyingi hutumika na wahudumu wa afya ambapo wakiona kuna ajali imepatkana either kuchomwa na sindano wakat wa kumshona mtu au vinginevyo. Haiwez fanya kazi baada ya masaa 72. Subiri muda ufike.

Kuwa na amani huenda majib yakawa mazuri kama hujasimamia ukucha lakini.

All in all condom ni muhim au baki njia kuu. UKIMWI unaua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukishaanza kutumia hiyo PEP unaongeza window period, sijui ni kweli maana wanasema badala ya miezi 3 inaweza fika hadi 6
 
prep hufanya kazi kabla ya masaa 72...subiri miezi mi3 ifike ukapime tena. Na prep huwa inatmika kwa emergency na mara nyingi hutumika na wahudumu wa afya ambapo wakiona kuna ajali imepatkana either kuchomwa na sindano wakat wa kumshona mtu au vinginevyo. Haiwez fanya kazi baada ya masaa 72. Subiri muda ufike.

Kuwa na amani huenda majib yakawa mazuri kama hujasimamia ukucha lakini.

All in all condom ni muhim au baki njia kuu. UKIMWI unaua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulichokijibu sidhani kama ndio nilichokiuliza.
 
Swali, Je, huyo mwenzako yuko alikuwa kwenye dawa kabla ya nyinyi kupigana miti?
Kama jibu ni ndio, basi ondoa shaka, kama jibu ni hapana, uko kwenye hatari kubwa kwa mujibu wa wataalamu wanavyosema.

Hivi PEP ndio nini?
Wengine hapa ni washamba.
Hakua kwenye dawa na hakujua kama ana hali hiyo kwa maelezo yake.

PEP ni dawa unayopewa kuzuia maabukizi ya ukimwi mwilini mwako kama umefanya ngono na mtu mwenye virusi ama umechomwa sindano ya damu ya mtu mwenye virusi. Hii inafanya kazi pale tu kama utawahi kabla ya masaa 72 kupita.
 
Back
Top Bottom