kila kitu kipo tayari computer kama kumi tatizo sijajua gharama za bundle ntanunuaje wakuu msaada
Kaka mm ni mtaalamu wa mambo ya internet.
Nitafute. Nutakuwekea net ya bei nzuri zaidi, itakuwa hauna haja ya kuwabana wateja kuangalia video ila sharti langu uweke wikwazo kwa yyt atakae angalia vitu kinyume na maadili. C