Hii hali bado inaendelea kunisumbua kuanzia shingoni hadi kifuani panauma shingoni panakuwa kama pamejibana au kama mtu ameniviriga kamba kifua kuwaka moto na mgongo kuwaka moto pia na hii yote imesababishwa na msongo wa mawazo wa muda mrefu nina last chance ya kusoma maana nilishachezea nafasi nimepelekwa shule mara ya pili mawazo yananijia ya kukata tamaa ya kusoma hali ambayo napingana nayo kila siku niko vizuri tu kimasomo je nikijilazimisha lazimisha hii hali itapotea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app