Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Kwa nini usiuze na hela utakayopata ununulie vitz mpya
Hii biashara bana.
Ngoja niifuatilie taratibu, Japo sijaielewa.
Kwa nini usiuze na hela utakayopata ununulie vitz mpya
Wanyonge Sasa Ni wakati wa kumiliki SUVGeneration ya kwanza lazima zishuke sana kwa sababu sasa hivi watu wanakimbilia nissan dualis na xtrail second generation
Toa nyongo chief. Kulikoni kuwa za ovyo?Xtrail ni gar za hovyo sana
Bei gan
Ha ha ha. Hao ndo wabayaUzi ushaingiliw na madalali.
Habari zenu wana jukwaa,
Nimekuja kuomba ushauri wenu, nina Xtrail 2001 cc 1990 , lakini nataka badilishane na mtu (nikimpata) anipe vitz au starlet, yote hii ni kwa sababu xtrail kwangu mimi ni kubwa katika kuendesha lakini pia nahitaji gari yenye CC ndogo tu, na ya kutembelea mjini sina route za nje ya mkoa
Je, nitakua nafanya jambo la busara? na je itawezekana yaan kwa comparison ya bei?
Believe me;Hapa hamna cha Xtrail wala nn,Ni story za kufurahisha genge tu-Tangu mwanzo nilivyosoma story yake nilijua tu hamna biashara.Full stop.Mimi ninayo starlet. Sema unaniongezea shing ngapi kwenye hiyo xtrail tufanye biashara?
🤣🤣🤣🤣Mkuu ulishapata wa kubadilishana naye hiyo X trail kwa Vitz au starlet..?
Jamaa haleti mrejesho...tungempatia starlet soon.tuchukue xtrail hiyo...