Copolla
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 232
- 569
Wakuu poleni na majukumu ila nilikuwa naomba mchango wenu kweny jambo ambalo nataka kulifanya kwamba je litakuwa na faida mbeleni.
Mimi nimemaliza form six saa hizi ndio naapply vyuo, nimeapply vyuo vingi tu ila Muhas (muhimbili) nataka niapply kozi inaitwa Bsc.in Diagnostic and Therapeutic Radiography ambayo mwanzo ilikuwa inaitwa Bsc in radiation therapy technology kifupi radiotherapy ambayo wameiongezea mtaala na kufanya iwe pana zaidi na kuliko ya previous ambayo ndo radiotherapy.
Sasa hii kozi ipo na bugando sema huko inaitwa Bsc in medical imaging and radiotherapy majina tofauti ila ni kitu kilekile na ilianza mwaka Jana kutolewa bugando ko wako wanaomalizia first year tu sema Muhas nao wakaona isiwe kesi ngoja na sisi tupanue kozi yetu ile ya radiotherapy iwe kama yao ndo wakafanya hivo na inaanza mwaka huu November.
sasa wana JF mm nilisha apply dentist Muhas nataka nibadili niieke hii kozi inayoanza mwaka huu, je nafanya jambo sahihi? Na je hii kozi itakuja kuwa na ajira mbeleni? Maana diploma za hii kozi zipo Muhas na Bugando sema degree Bugando wameanzisha mwaka Jana na Muhas mwaka huu. Nimesoma PCB nna I ya 8....please naombeni mawazo yenu
Note; Mimi nshachoka na mambo ya ndoto na hobbies nataka nisome kitu chenye manufaa mbeleni kwaio ntazingatia ushauri wowote ule wenye tija
Mimi nimemaliza form six saa hizi ndio naapply vyuo, nimeapply vyuo vingi tu ila Muhas (muhimbili) nataka niapply kozi inaitwa Bsc.in Diagnostic and Therapeutic Radiography ambayo mwanzo ilikuwa inaitwa Bsc in radiation therapy technology kifupi radiotherapy ambayo wameiongezea mtaala na kufanya iwe pana zaidi na kuliko ya previous ambayo ndo radiotherapy.
Sasa hii kozi ipo na bugando sema huko inaitwa Bsc in medical imaging and radiotherapy majina tofauti ila ni kitu kilekile na ilianza mwaka Jana kutolewa bugando ko wako wanaomalizia first year tu sema Muhas nao wakaona isiwe kesi ngoja na sisi tupanue kozi yetu ile ya radiotherapy iwe kama yao ndo wakafanya hivo na inaanza mwaka huu November.
sasa wana JF mm nilisha apply dentist Muhas nataka nibadili niieke hii kozi inayoanza mwaka huu, je nafanya jambo sahihi? Na je hii kozi itakuja kuwa na ajira mbeleni? Maana diploma za hii kozi zipo Muhas na Bugando sema degree Bugando wameanzisha mwaka Jana na Muhas mwaka huu. Nimesoma PCB nna I ya 8....please naombeni mawazo yenu
Note; Mimi nshachoka na mambo ya ndoto na hobbies nataka nisome kitu chenye manufaa mbeleni kwaio ntazingatia ushauri wowote ule wenye tija