navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 156
- 167
Wadau ninaomba mchango wenu wamawazo. Nimekua mtumishii wa serikali kwa miaka minne Sasa, katika idara ya elimu(Mimi ni mwalimu) umri miaka 28.
Nafundisha masomo ya physics na chemistry, na ninayo elimu ya bachelor yenye GPA nzuri tu.
Nimeamua kutaka kurudi kupiga kitabu Tena, nafikiri nikasome master hasa ya physics. Ila mpaka saiz bado cjajua field ipi nikachukue
Nimekuja kwenu kupata msaada wa mawazo ili niweze kufanikisha ndoto angu.
Afu pia, Kuna swali najiuliza vipi Kuna manufaa yeyote ninaweza pata baada ya kumaliza master au mifumo ya sikuhizi imekaaje wadau.
Nawakaribisha mchangie kwa chochote.
KARIBUNI.
Nafundisha masomo ya physics na chemistry, na ninayo elimu ya bachelor yenye GPA nzuri tu.
Nimeamua kutaka kurudi kupiga kitabu Tena, nafikiri nikasome master hasa ya physics. Ila mpaka saiz bado cjajua field ipi nikachukue
Nimekuja kwenu kupata msaada wa mawazo ili niweze kufanikisha ndoto angu.
Afu pia, Kuna swali najiuliza vipi Kuna manufaa yeyote ninaweza pata baada ya kumaliza master au mifumo ya sikuhizi imekaaje wadau.
Nawakaribisha mchangie kwa chochote.
KARIBUNI.