MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

Chukua tvs ipo vizuri kuliko boxer hata ulaji wake wa mafuta ni mzuri lita kwa km 60 hadi 70 wakati boxer ni lita kwa km 30 hadi 40
Duuh kama ni hvyo kwel bas inaweza kuwa best kwenye mafuta...... Lakin napata wakati mgum napowaza Upatikanaji wa Spear parts zake mana inasemekana kutoka kwa watumiaji kuwa ni adim sana had Nairobi mana nipo Moshi... Wenye tvs kwa observation yang naona ni wachache kuliko wenye boxer na nyinginezo
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom