Idrisa1510
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 252
- 350
Naombeni msaada wa mawazo. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wakwanza wa chuo kikuu Dodoma (UDOM). Nilichaguliwa chuoni hapa kusoma BACHELOR OF SCIENCE WITH EDUCATION bahati mbaya sikufanikiwa kupata mkopo wa kujikimu nakugharamikia masomo.
Mzazi ni masikini na alijichangachanga nikafanikiwa kulipa nusu ya Ada ya mwaka na direct costs nikawa nimeanza asomo.
Lakini mpaka kufikia sasa naona kabisa mzazi kashindwa kuendelea kunilipia gharama za kimaisha za kila siku zahapa chuoni kiasi cha kulosa alternative way Zaid ya kufikiria nirudi nyumban kusubilia mwaka ujao kwani nililenga na kutegemea Sana kusoma Kwa mkopo wa serikali.
MSAADA KWENU NAOHITAJI NI NJIA AU HATUA NAZOWEZA FUATA ILI NIAHIRISHE AU NIONDOLEWE KABISA MIONGONI MWA WANAFUNZ WA CHUO HIKI ILI NIPATE FURSA YA KUOMBA TENA MWAKANI. AU KAMA UNA LAKUNISHAURI JUU YA SWALA HILI ITAKUA VYEMA
Kwa Aliye na uziefu au anafahamu kunusiana na jambo hili anisaidie.
Mzazi ni masikini na alijichangachanga nikafanikiwa kulipa nusu ya Ada ya mwaka na direct costs nikawa nimeanza asomo.
Lakini mpaka kufikia sasa naona kabisa mzazi kashindwa kuendelea kunilipia gharama za kimaisha za kila siku zahapa chuoni kiasi cha kulosa alternative way Zaid ya kufikiria nirudi nyumban kusubilia mwaka ujao kwani nililenga na kutegemea Sana kusoma Kwa mkopo wa serikali.
MSAADA KWENU NAOHITAJI NI NJIA AU HATUA NAZOWEZA FUATA ILI NIAHIRISHE AU NIONDOLEWE KABISA MIONGONI MWA WANAFUNZ WA CHUO HIKI ILI NIPATE FURSA YA KUOMBA TENA MWAKANI. AU KAMA UNA LAKUNISHAURI JUU YA SWALA HILI ITAKUA VYEMA
Kwa Aliye na uziefu au anafahamu kunusiana na jambo hili anisaidie.